Special cases mtu aende form 6
Bado ni mdogo sana kiumri
Hakuna uwezo wa kumlipia ada
Kutaka kuwa mwalimu,
Background yangu, Nilimaliza form 6 miaka ya 2009 nikapiga division 2 ya 10, baada ya kufaulu ikabidi nianze kufatilia chuo, Ni kipindi ambacho wanafunzi wengi sana wanachanganyikiwa wasomee kipi, mimi binafsin nilichagua kusomea nachokipenda lakini nilipofika chuoni uhalisia ulikuwa tofauti sana na nilivyodhani, niligundua nimekurupuka kuchagua kozi, Nachoshukuru nyumbani vijihela vipo, ilibidi nibadili chuo kusoma kozi nyingine upya.
Kwenda chuo kuna faida zifuatazo
UWANJA MPANA WA KUPATA AJIRA - form 4>>chuo wana uwanja wa ajira mkubwa, wao wanaweza kuomba kazi za certificate, diploma na degree lakini wale wa form 6>>chuo wanaomba kazi za degree tu, lakini pia form 4>>chuo akipata changamoto za kushindwa kusoma degree mfano kakosa ada, anaweza kuajirika tofauti na form 6 ambae hajaweza kwenda degree hawezi kuajiriwa. form 4>>chuo na form 6>>chuo wote wanaweza kuomba ajira ya degree na wakakosa lakini form 4>>chuo anaweza kubahatika kupata kazi ya diploma au certificate, Ni kweli kazi za diploma zina mishahara midogo waweza kuta degree analipwa take home laki 8, diploma laki 5, lakini ni heri upate kitu kuliko kukosa kabisa.
Kuna kazi nyingi tu wahahitaji Diploma, Mfano nimeweka tangazo la TANROADS kuhitaji mhasibu msaidizi mwenye diploma au certificate.
www.ajiriwa.net
ADVANTAGE YA CV - Kitu kingine ni kwamba form 4>>chuo wana cv inayovutia kiuzoefu kuzidi form 6>>chuo, ni kwamba form 4>>chuo wamesomea taaluma kwa muda mrefu zaidi darasani kuzi form 6>>chuo, wana vyeti vya kitaaluma vingi (certificate + diploma + degree) kuzidi form 6>>chuo mwenye degree pekee, na cv inaonyesha wamefanya kazi kwa vitendo maofisini (field work) mara nyingi zaidi kuliko form 6>>chuo.
URAHISI WA KUBADILI KOZI - Mtu kamaliza form 4 ana ndoto za kusomea kitu anachopenda mfano marketing, anaingia chuoni certificate mwaka moja anakuja kugudndua ni kozi anayoipenda lakini haina soko kwenye ajira, Diploma ya miaka miwili anabadili kozi kusomea labda accounting hasa ukizingatia masomo mengi walishasoma pamoja darasa moja akiwa certificate hivyo sio mgeni sana, Degree anaweza kubadilisha kozi kusomea nyingine mfano Accounting and IT ili kuongeza zaidi uwanja wa ajira za IT, Sasa tukija kwa hawa form 6>>chuo unakuta mtu anapenda kusomea insurance, anafika chuoni anakuja kugundua kitu anachokipenda kupata ajira zake ni ngumu, kubadili gia angani sio rahisi, yanabaki kuwa majuto.
KUYAZOEA MAISHA YA CHUO MAPEMA - form 4>>chuo na form 6>>chuo wote kwa pamoja wakiwa mwaka wa kwanza chuoni huwa wanapata changamoto ya uhuru wa maisha ya chuoni, style ya kusoma chuoni, kuandaa assignments, presentations, n.k. hii huwa inachangia wengi kufanya vibaya kwenye masomo mwaka wa kwanza. form 4>>chuo na form 6>>chuo wakiingia degee si ajabu kukuta Form 6 > chuo wapo wanaofaulu sana lakini muda huo huo wanaofeli zaidi na hata kudisco (kufukuzwa chuonu) ni hao hao wa Form 4.
KUYAZOEA MASOMO KWA KUYARUDIA - Na ndio sababu kubwa baadhi ya kozi za degree za miaka minne form 4>>chuo wataambiwa wasome miaka mitatu lakini form 6>>chuo watasoma minne, Ni kwamba chuoni huwa kuna kurudia rudia masomo kwenye ngazi tofauti sababu wanasomea taaluma sio vidato, kwa upande wa form 6>>chuo unakuta kasoma mambo mengi akiwa sekondari ambayo akifika chuoni hatayakuta sababu ni nje ya taaluma, atavikuta vitu vingi zaidi vipya vilivyojikita kwenye taaluma. Mfano unamkuta form 6 kasoma topics kibao za hesabu lakini wakifika chuoni wanarudia topics tatu tu na kukuta topics mpya nyingi zaidi, Muda huo form 4>>chuo kwao vitu vingi ni marudio walishavisoma sababu ni muhimu kuvijua katika taaluma, Lakini hii haimaanishi kwamba form 4>>chuo ndio wana uhakika wa kufaulu zaidi, LA HASHA !! kuna form 6 wanawakimbiza vizuri kabisa form 4>>chuo waliobweteka ama wasio na bidii.
UHURU WA KIUTU UZIMA - miaka 18+ tayari ni mtu mzima kisheria, Inashangaza kuona watu hawa wapo form 6 wana age 18+ wanatandikwa viboko, wanapangiwa mavazi, hawaruhusiwi simu, hawaruhusiwi kufuga ndevu, kusuka, n.k. ni kama watoto wadogo !! Chuoni ni tofauti uankuwa treated kama mtu mzima kisheria, hutakuja shikiwa bakora. Kuna wazazi husema wasipeleke watoto chuoni baada ya form 4 kwa kuogopa uhuru, Ukweli ni kwamba wakimaliza form 6 wataenda chuo na uhuru wataukuta, Ni suala la kuweza kuwajengea misingi watoto wajue namna ya kuishi hata wakiwa huru, hawa wanaobanwa sana ni kwaida sana wakifikaga chuoni lazima uhuru uwachanganye iwe ni form 4 ama form 6.
kwa ufupi
Bado ni mdogo sana kiumri
Hakuna uwezo wa kumlipia ada
Kutaka kuwa mwalimu,
Background yangu, Nilimaliza form 6 miaka ya 2009 nikapiga division 2 ya 10, baada ya kufaulu ikabidi nianze kufatilia chuo, Ni kipindi ambacho wanafunzi wengi sana wanachanganyikiwa wasomee kipi, mimi binafsin nilichagua kusomea nachokipenda lakini nilipofika chuoni uhalisia ulikuwa tofauti sana na nilivyodhani, niligundua nimekurupuka kuchagua kozi, Nachoshukuru nyumbani vijihela vipo, ilibidi nibadili chuo kusoma kozi nyingine upya.
Kwenda chuo kuna faida zifuatazo
UWANJA MPANA WA KUPATA AJIRA - form 4>>chuo wana uwanja wa ajira mkubwa, wao wanaweza kuomba kazi za certificate, diploma na degree lakini wale wa form 6>>chuo wanaomba kazi za degree tu, lakini pia form 4>>chuo akipata changamoto za kushindwa kusoma degree mfano kakosa ada, anaweza kuajirika tofauti na form 6 ambae hajaweza kwenda degree hawezi kuajiriwa. form 4>>chuo na form 6>>chuo wote wanaweza kuomba ajira ya degree na wakakosa lakini form 4>>chuo anaweza kubahatika kupata kazi ya diploma au certificate, Ni kweli kazi za diploma zina mishahara midogo waweza kuta degree analipwa take home laki 8, diploma laki 5, lakini ni heri upate kitu kuliko kukosa kabisa.
Kuna kazi nyingi tu wahahitaji Diploma, Mfano nimeweka tangazo la TANROADS kuhitaji mhasibu msaidizi mwenye diploma au certificate.
Accounts Assistant II
Join Tanzania National Roads Agency (TANROADS) as Accounts Assistant II. Enforcing of Road Traffic Axle Load control by the use of Weighbridge Scale Devices Enforcing The East African Community Vehicle Load Control, Act 2016 and its Regulations, 2017 which include the following: Collecting and...
ADVANTAGE YA CV - Kitu kingine ni kwamba form 4>>chuo wana cv inayovutia kiuzoefu kuzidi form 6>>chuo, ni kwamba form 4>>chuo wamesomea taaluma kwa muda mrefu zaidi darasani kuzi form 6>>chuo, wana vyeti vya kitaaluma vingi (certificate + diploma + degree) kuzidi form 6>>chuo mwenye degree pekee, na cv inaonyesha wamefanya kazi kwa vitendo maofisini (field work) mara nyingi zaidi kuliko form 6>>chuo.
URAHISI WA KUBADILI KOZI - Mtu kamaliza form 4 ana ndoto za kusomea kitu anachopenda mfano marketing, anaingia chuoni certificate mwaka moja anakuja kugudndua ni kozi anayoipenda lakini haina soko kwenye ajira, Diploma ya miaka miwili anabadili kozi kusomea labda accounting hasa ukizingatia masomo mengi walishasoma pamoja darasa moja akiwa certificate hivyo sio mgeni sana, Degree anaweza kubadilisha kozi kusomea nyingine mfano Accounting and IT ili kuongeza zaidi uwanja wa ajira za IT, Sasa tukija kwa hawa form 6>>chuo unakuta mtu anapenda kusomea insurance, anafika chuoni anakuja kugundua kitu anachokipenda kupata ajira zake ni ngumu, kubadili gia angani sio rahisi, yanabaki kuwa majuto.
KUYAZOEA MAISHA YA CHUO MAPEMA - form 4>>chuo na form 6>>chuo wote kwa pamoja wakiwa mwaka wa kwanza chuoni huwa wanapata changamoto ya uhuru wa maisha ya chuoni, style ya kusoma chuoni, kuandaa assignments, presentations, n.k. hii huwa inachangia wengi kufanya vibaya kwenye masomo mwaka wa kwanza. form 4>>chuo na form 6>>chuo wakiingia degee si ajabu kukuta Form 6 > chuo wapo wanaofaulu sana lakini muda huo huo wanaofeli zaidi na hata kudisco (kufukuzwa chuonu) ni hao hao wa Form 4.
KUYAZOEA MASOMO KWA KUYARUDIA - Na ndio sababu kubwa baadhi ya kozi za degree za miaka minne form 4>>chuo wataambiwa wasome miaka mitatu lakini form 6>>chuo watasoma minne, Ni kwamba chuoni huwa kuna kurudia rudia masomo kwenye ngazi tofauti sababu wanasomea taaluma sio vidato, kwa upande wa form 6>>chuo unakuta kasoma mambo mengi akiwa sekondari ambayo akifika chuoni hatayakuta sababu ni nje ya taaluma, atavikuta vitu vingi zaidi vipya vilivyojikita kwenye taaluma. Mfano unamkuta form 6 kasoma topics kibao za hesabu lakini wakifika chuoni wanarudia topics tatu tu na kukuta topics mpya nyingi zaidi, Muda huo form 4>>chuo kwao vitu vingi ni marudio walishavisoma sababu ni muhimu kuvijua katika taaluma, Lakini hii haimaanishi kwamba form 4>>chuo ndio wana uhakika wa kufaulu zaidi, LA HASHA !! kuna form 6 wanawakimbiza vizuri kabisa form 4>>chuo waliobweteka ama wasio na bidii.
UHURU WA KIUTU UZIMA - miaka 18+ tayari ni mtu mzima kisheria, Inashangaza kuona watu hawa wapo form 6 wana age 18+ wanatandikwa viboko, wanapangiwa mavazi, hawaruhusiwi simu, hawaruhusiwi kufuga ndevu, kusuka, n.k. ni kama watoto wadogo !! Chuoni ni tofauti uankuwa treated kama mtu mzima kisheria, hutakuja shikiwa bakora. Kuna wazazi husema wasipeleke watoto chuoni baada ya form 4 kwa kuogopa uhuru, Ukweli ni kwamba wakimaliza form 6 wataenda chuo na uhuru wataukuta, Ni suala la kuweza kuwajengea misingi watoto wajue namna ya kuishi hata wakiwa huru, hawa wanaobanwa sana ni kwaida sana wakifikaga chuoni lazima uhuru uwachanganye iwe ni form 4 ama form 6.
kwa ufupi
- form 4>>chuo kasomea miaka mingi zaidi taaluma kuzidi form 6>>chuo
- form 4>>chuo kafanya mazoezi ya kazi kwa vitendo mara nyingi zaidi kuzidi form 6>>chuo
- form 4>>chuo ana vyeti vingi vya taaluma (certificate+diploma+degree)
- form 4>>chuo badhi ya vyuo akiingia degree anasomea miaka mitatu tu, yule wa form 6>>chuo ni mgeni sana inabidi asomee miaka minne
- form 4>>chuo anatambulika kitaaluma akihitimu diploma, cheti cha form 6 hakitambuliki kwa taaluma yoyote
- ikitokea mzazi kaishiwa pesa, hakuna mkopo wa chuo, n.k. kwenda kusoma degree, form 4>>chuo anaweza kuajiriwa bila degree, form 6 hawezi kuajiriwa hata kama ana division 1.