rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Aisee katika mambo yote ambayo vijana wenzangu wanafanya Ishu ya kwenda club usiku Ilinishindaa kabisaa... Niliwahi jaribu kwenda Club next door siku nkaishia kulala tu nkaona hii sio Fani yangu kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sikwenda tena hadi kesho siwezi sema Nitaudhuria show ya msanii usiku wala kwenda Club...
Ni kitu gani Kilikushinda kufanya wakati watu wanaenjoy kukifanya??
Ni kitu gani Kilikushinda kufanya wakati watu wanaenjoy kukifanya??