Orayt... kwahiyo wazee wazima tumekubaliana, Yummy nakuachia. Si ndio? Au tumpige chini wote?
Acha longolongo weweeeee...........kama we umeshindwa acha wenzio wafaudu aluuuuuu. Na huwezi mkonvinsi Mr Rocky aachie ngazi ujue
Erickb52 ni mtoto anahangaika...................
Wazee wazima tumetulia ........................
Yummy kaenda wapi?? Alikuaga?? Kuna kesi naona hapo anatakiwa kuijibu simpati kwenye simu
Asprin una mkono wangu wa pongezi hapoDeal signed.... Yummy is now yours!!
shem we nae kwa kujigonga gonga kha!! jamaa anakutolea nje hadharani lakini we bado umo tu. Au ndio ile kitu ya ushauri wa mzee Mtambuzi ya king'ang'anizi?
Miye huyo wa mwisho kulia duh! Maashallah! nikimwona tu nafsi yangu kwatuu.
Ushauri wangu bora mumpige chini wote! Ili wengine wajinafasi kwa nafasi!
Mwita Maranya huyu nimetoka nae mbali aise hata kwa greda hatoki hapa
Hao wengine ni wakuja na kuondoka ile yeye ni wa kufa na kuzikana
So na wewe usilete za kuleta hapa au na wewe unataka uingie kwenye ligi
Haaaaaaaaahaaaaaaaaa.Kama una ubavu huo!
Mwita Maranya shauri yako! Utauziwa mbuzi kwenye gunia ohoooooo! Babu Asprin hajatu consult kujua kama tutakubali au la! Mambo ya kulazimishana hakuna siku hizi. Labda Blue G lakini mie mmmh! Kupangiwa bila maelezo sitaki.
Mwita Maranya huyu nimetoka nae mbali aise hata kwa greda hatoki hapa
Hao wengine ni wakuja na kuondoka ile yeye ni wa kufa na kuzikana
So na wewe usilete za kuleta hapa au na wewe unataka uingie kwenye ligi
Deal signed.... Yummy is now yours!!
Mwita Maranya shauri yako! Utauziwa mbuzi kwenye gunia ohoooooo! Babu Asprin hajatu consult kujua kama tutakubali au la! Mambo ya kulazimishana hakuna siku hizi. Labda Blue G lakini mie mmmh! Kupangiwa bila maelezo sitaki.
Potelea mbali.... wale wajanja hata kama wanaiba wanaiba responsibly. We hata vichochoroni kila mtu kishajua.... khaa!Like, like, like x100000000000000000000000000000
Hitimisho: Kongosho, cacico na BADILI TABIA wataendelea kuwa wake wenzangu(si kwako lakini ujue......wenyewe wanaelewa kila mtu kivyake vyake) UTAJIJUUUU
Asprin mi mwenzio siko radhi si unacheki hilo jina Mwita Maranya,we unajua mapenzi kwa mwanamke yanamaanisha nini kwa watu wenye majina kama hayo a.ka. akina tata mura,kipigo mpaka ukandwe na maji ya moto aakkkkkkkhhaaa mie naogopa.