Kwenda kwa mumeo na vitu vyote au kwenda na begi?

naskia inaitwa misk niliisoma fb huko ...nipe jina lako nikuaad kwenye ilo group ,by the way kwani k yako ina dhoruba gani hadi uipake dawa? raha ya kula ni uwe natural

Una maswali kama polisi wa Iringa!!?? hahaha
 

Sio kwamba tunawawazia mabaya wenzetu, ukweli ni kwamba "experience is the best teacher"
Tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia jinsi baadhi ya wanaume wanavyonyanyasika ndani ya ndoa zao, kisa mke kafungashiwa kontena la vitu kutoka kwao.
 
naskia inaitwa misk niliisoma fb huko ...nipe jina lako nikuaad kwenye ilo group ,by the way kwani k yako ina dhoruba gani hadi uipake dawa? raha ya kula ni uwe natural


Hahaha, wewe hujatulia yaani mkwe! Sasa hiyo misk, kwani yeye kasema anataka dawa ya mapunye, utangotango, ama ya kuongeza urefu? Hilo group lenu la fb mnadanganyana tu mtakuja kuachwa! Mchaga akikutana na msik anajua kalogwa, aliekushauri mzanzibar. Ohoo!
 
ahaaa mi si mdau mimi napenda kuwa natural wazanzibari bwana hadi k inaungwa eti iwe tamu...wazushi wale eti wanaweka na nazi na asali ..upuuzi mtupu
 
mimi naitwa AGNETH NATAKA TU KUJUA KAMA INAMADHARA GANI?
ngoja nicopy kule nikupastie hapa mi sio mdau wa hayo mambo..k yangu ipo fresh haiiitaji additional point
 
Sio kwamba tunawawazia mabaya wenzetu, ukweli ni kwamba "experience is the best teacher"
Tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia jinsi baadhi ya wanaume wanavyonyanyasika ndani ya ndoa zao, kisa mke kafungashiwa kontena la vitu kutoka kwao.
heti hadi kitanda cha kumlia mkeo tunda upewe na mama mkwe ni sawa kweli?
 
as a man siwezi kuoa kabla ya kujipanga kimaisha na kuhakikisha kuna uwezo wa ku-sustain familia. I wouldn't be comfortable otherwise. Smile huyo kijana vipi? does he have a direction in life au yupo yupo tu?
 
Last edited by a moderator:
ahaaa mi si mdau mimi napenda kuwa natural wazanzibari bwana hadi k inaungwa eti iwe tamu...wazushi wale eti wanaweka na nazi na asali ..upuuzi mtupu
Smile kumbe we mtata hivyo? ndio maana rejao amedata, si bure!!
 
Last edited by a moderator:
as a man siwezi kuoa kabla ya kujipanga kimaisha na kuhakikisha kuna uwezo wa ku-sustain familia. I wouldn't be comfortable otherwise. Smile huyo kijana vipi? does he have a direction in life au yupo yupo tu?
sijui kwa kweli ndugu yangu...mimi nimeona ajabu kweli ..zawadi zingine mitihani bwana
 
Smile kumbe we mtata hivyo? ndio maana rejao amedata, si bure!!
mi sijui bwana mambo ya pwani eti...wanafanya maisha kuwa tu magumu..sasa k na nazi wapi na wapi? ndop maana fangasi zimekuwa janga la kitaifa
 
ahahaa kuna zawadi na zawadi bwana ..hadi vitanda vya nyumba nzima?

Usipende kuchagua zawadi, zawadi ni zawadi hata container la vitu vya ndani nayo ni zawadi.
 
Usipende kuchagua zawadi, zawadi ni zawadi hata container la vitu vya ndani nayo ni zawadi.
mi nitafungua tu home shoping centre sipeleki kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…