mkulu senkondo JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 1,862 Reaction score 3,574 Feb 19, 2017 #1 Bila kuwachosha naomba mnitatulie huu ubishi, kuwa wapi kuna ahueni kwa MTU kukosea maswali mawili ya necta pale form four, au kukosea kuoa/kuolewa.Eti wapi kina afadhali hapo.
Bila kuwachosha naomba mnitatulie huu ubishi, kuwa wapi kuna ahueni kwa MTU kukosea maswali mawili ya necta pale form four, au kukosea kuoa/kuolewa.Eti wapi kina afadhali hapo.
mzaramo JF-Expert Member Joined Sep 4, 2006 Posts 6,371 Reaction score 5,186 Feb 19, 2017 #2 Wanaume wa mikoani bhana yaani mapenzi yanawatesa mpaka akili ya kufikiria inawapotea.
mkulu senkondo JF-Expert Member Joined Feb 19, 2017 Posts 1,862 Reaction score 3,574 Feb 19, 2017 Thread starter #3 Jamani twende kwenye mada tukianza kugawana wa mikoani na hao wanaojiita wa mjini hatutapata majibu mazuri kwa wanafamilia wa jf.
Jamani twende kwenye mada tukianza kugawana wa mikoani na hao wanaojiita wa mjini hatutapata majibu mazuri kwa wanafamilia wa jf.
PAGAN JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 12,181 Reaction score 20,148 Feb 19, 2017 #4 Hizi mada za malofa, yaani mke uoe wenyewe halafu akutese