Kwa kweli mgombea wa CCM anachemsha vibaya, 2005 kwetu alituahidi umeme toka Makambako mpaka Songea mjini. Hamna cha umeme wala nini? Juzi CCM wameahidi kujenga reli toka Mtwara mpaka Songea ndani ya miaka mitano ijayo, wa kumuuliza hatumwoni,mbunge wetu kahamia Dsm. Ipo haja kukusanya ahadi zote alizotoa ili watu wake wamkumbushe kwamba mzee punguza.
kwenu kaahidi nini?
kwenu kaahidi nini?