kUNA JAMAA ALISHAANZISHA THREAD YA AHADI ZA HUYU JAMAA...NI NYINGI AJABU, NA HAWEZI KUZITEKELEZA HATA ROBO HADI MWISHO WA MAISHA YAKE!Kwa kweli mgombea wa CCM anachemsha vibaya, 2005 kwetu alituahidi umeme toka Makambako mpaka Songea mjini. Hamna cha umeme wala nini? Juzi CCM wameahidi kujenga reli toka Mtwara mpaka Songea ndani ya miaka mitano ijayo, wa kumuuliza hatumwoni,mbunge wetu kahamia Dsm. Ipo haja kukusanya ahadi zote alizotoa ili watu wake wamkumbushe kwamba mzee punguza.
kwenu kaahidi nini?
Kwa kweli mgombea wa CCM anachemsha vibaya, 2005 kwetu alituahidi umeme toka Makambako mpaka Songea mjini. Hamna cha umeme wala nini? Juzi CCM wameahidi kujenga reli toka Mtwara mpaka Songea ndani ya miaka mitano ijayo, wa kumuuliza hatumwoni,mbunge wetu kahamia Dsm. Ipo haja kukusanya ahadi zote alizotoa ili watu wake wamkumbushe kwamba mzee punguza.
kwenu kaahidi nini?[/QUOTE
Kwetu Jimbo la Busanda tuliambiwa umeme utaletwa,wakati wa uchaguzi mdongo,mpaka na nguzo za umeme zikaletwa,baada ya uchaguzi zile nguzo hata ziliko hatujui.
kwenu kaahidi nini?
Kwetu alishapita kipdindi fulani anatimua vumbi watu wakapopoa msafara wake na mawe.
Hasubutu kuahidi au kuja kwetu!!!
Kwetu kuna matatizo ya maji na ametuahidi atatuleta bahari.
barabara kuzunguka mlima wote
Kwetu kuna matatizo ya maji na ametuahidi atatuleta bahari.
hahaha hahaha, nilikuwa nasinzia sasa silali ng'o!Kwetu alikuja akaahidi daraja la kisasa tuweze kuvuka mto kirahisi . Tukamwambia hatuna mto. Akaahidi kutuletea na mto pia.