KWENU CHADEMA; Yule Mwenyekiti wa Wafanyabiashara pale SIMU2000 anafaa kuwa M/KITI badala ya Pambalu

KWENU CHADEMA; Yule Mwenyekiti wa Wafanyabiashara pale SIMU2000 anafaa kuwa M/KITI badala ya Pambalu

Kinjekitile Jr

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
566
Reaction score
1,583
Wakuu kwema!???

Ndani ya week hii kumeibuka jambo moja la kupigiwa mfano na Watanzania wote wanaopenda mabadiliko.

Kuna kijana Machachari sana anaitwa anaitwa Mussa Ndile(Kama sijakosea) nimepitia background yake jamaa ana profile kubwa kidogo sio kitoto ,yeye ndie master mind wa ule mgomo pale Mawasiliano,mpaka kumfanya RC na DC kufika pale na bado hakawazidi kwa hoja………..jamaa alikuwa anatoa nondo kabisa,Mpaka Chalamila na DC wake wakakosa cha kuzungumza

Nimeona jamaa anasifa zote za kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA ukiachana na kina Pambalu ambao sioni Kama wanaifanyia vyema kazi Yao………..Nasikia yupo busy anautafuta Ubunge wa Nyamagana,Mungu ampiganie sana……..

Twende kwa Bwana Ndile!!!👇🏾👇🏾

Huyu aliwahi kuwa mwenyekiti wa CHASO, IFM

Aliwahi kuwa Waziri mkuu IFMSO

Ana degree ya IT (Sifikirii Kama Pambalu au Mwaipaya wana degree…….SIFIKIRII KABISA)

Alishawahi kuleta mgomo na maandamano makubwa sana pale IFM ili tu kudai maslahi ya Wanafunzi wenzake , kama alikuwa na uwezo wa kukusanya wasomi chuoni wamsikilize atashindwaje kuongea na kujenga hoja!?? Na baadae alilala mahabusu kwaajili ya harakati za kutetea nchi na Chama kwa ujumla


BAVICHA ukiachana na John Heche pamoja na Ole Sosopi,wengine wote waliofuata walikuwa ni Kama viongozi wa UVCCM,kuna mtu alinambia John Pambalu lilikuwa chaguo la Mbowe sio la vijana wa CHADEMA

CHADEMA tuleteeni yule Machinga tafadhali
 

Attachments

  • IMG_0924.jpeg
    IMG_0924.jpeg
    138.6 KB · Views: 5
  • IMG_0937.jpeg
    IMG_0937.jpeg
    454 KB · Views: 6
😂😂

Kuongoza Wafanyabiashara wenye mitaji yao ni tofauti kabisa na Kuongoza hao wanaoongozwa na Pambalu
 
Wakuu kwema!???

Ndani ya week hii kumeibuka jambo moja la kupigiwa mfano na Watanzania wote wanaopenda mabadiliko.

Kuna kijana Machachari sana anaitwa anaitwa Mussa Ndile(Kama sijakosea) nimepitia background yake jamaa ana profile kubwa kidogo sio kitoto ,yeye ndie master mind wa ule mgomo pale Mawasiliano,mpaka kumfanya RC na DC kufika pale na bado hakawazidi kwa hoja………..jamaa alikuwa anatoa nondo kabisa,Mpaka Chalamila na DC wake wakakosa cha kuzungumza

Nimeona jamaa anasifa zote za kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA ukiachana na kina Pambalu ambao sioni Kama wanaifanyia vyema kazi Yao………..Nasikia yupo busy anautafuta Ubunge wa Nyamagana,Mungu ampiganie sana……..

Twende kwa Bwana Ndile!!!👇🏾👇🏾

Huyu aliwahi kuwa mwenyekiti wa CHASO, IFM

Aliwahi kuwa Waziri mkuu IFMSO

Ana degree ya IT (Sifikirii Kama Pambalu au Mwaipaya wana degree…….SIFIKIRII KABISA)

Alishawahi kuleta mgomo na maandamano makubwa sana pale IFM ili tu kudai maslahi ya Wanafunzi wenzake , kama alikuwa na uwezo wa kukusanya wasomi chuoni wamsikilize atashindwaje kuongea na kujenga hoja!?? Na baadae alilala mahabusu kwaajili ya harakati za kutetea nchi na Chama kwa ujumla


BAVICHA ukiachana na John Heche pamoja na Ole Sosopi,wengine wote waliofuata walikuwa ni Kama viongozi wa UVCCM,kuna mtu alinambia John Pambalu lilikuwa chaguo la Mbowe sio la vijana wa CHADEMA

CHADEMA tuleteeni yule Machinga tafadhali
N haki yako kutoa maoni kwa yasiyo kuhusu
 
Shida hata huko Chadema mwenyekiti anataka watu wake wa kumsujudia bila kumchallenge, je huyo kijana ataweza ndio mzee kwa bwana mbowe?
 
Law of power inasema hutakiwi kumu outshine your master, so watu wajuaji Kama hao huwa haziivi na wakubwa wao wenye mamlaka.
 
Chadema haiokoti watu mitaani kuwapa vyeo, inawatengeneza
Sasa mbona hao waliotengenezwa huwa wanaunga mkono juhudi za CCM na kuhamia kabisa CCM? Hamuoni chama chenu kinatengeneza watu wasio sahihi huku ikiwatelekeza walio sahihi? Kwa mfano wewe zaidi ya kuwa chawa wa Mbowe kuna alama gani ya kisiasa umeweka?
 
Sasa mbona hao waliotengenezwa huwa wanaunga mkono juhudi za CCM na kuhamia kabisa CCM? Hamuoni chama chenu kinatengeneza watu wasio sahihi huku ikiwatelekeza walio sahihi? Kwa mfano wewe zaidi ya kuwa chawa wa Mbowe kuna alama gani ya kisiasa umeweka?
Kwanza sijawahi kuwa chawa wa Mbowe au mtu yeyote, mimi ni Tajiri ninayechangia Chadema, Ila nafanya kazi na Viongozi hao bega kwa bega, mimi siyo kama mwijaku , Baba levo au steve nyerere ambao hawawezi kula bila kuwa chawa, yaani ni mpaka walipwe na wanaowachawia, wanaokutuma wananifahamu na kuniogopa.

Utaratibu wa Kupata uongozi Chadema uko ndani ya Katiba, hauko kwa wahuni wa jf
 
Kwanza sijawahi kuwa chawa wa Mbowe au mtu yeyote, mimi ni Tajiri ninayechangia Chadema, wanaokutuma wananifahamu na kuniogopa.

Utaratibu wa Kupata uongozi Chadema uko ndani ya Katiba, hauko kwa wahuni wa jf
Kuwa tajiri haiondoi uchawa wako kwa Mbowe.
 
Back
Top Bottom