GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,160
DADA ZANGU HUU NI MWAKA WA MABADILIKO.
TAKE IT OR LEAVE IT.
Umempata bwana...
Umempenda kweli...
Umemlalamikia kwa nini hakupeleki kwa wazazi..
Bwana akakupeleka kwa wazazi wake kukutambulisha.
Siku ya kwanza umeshinda unachat...
Siku ya pili umeshinda unachat...
wanakutazama tu,
Siku ya tatu ukaambiwa sasa zamu yako kupika, vya huku unaweka huku...vya hapa unaweka pale...
Yani hujui kupika kabisa...sufuria unashika utadhani umeshika powerbank, unapika na lipstick mdomoni, umevaa saa, umevaa ma culture msosi wa kula wakwe zako huwezi kupika...
Umevaa "MINISKIRT" hata wafanyakazi wa Fastjet au KQ ama Fly540 umewapiku..
Ukiambiwa kuwa hufai kuolewa unavuta mdomo kama umenyimwa ubuyu...
Unaanza sema wakwe hawakupendi ...unalalamika weeeee mpaaaka!!
Unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo tatizo..
Usitake kuolewa ukadhani mumeo atakuwa anakula chips na wewe utakuwa unakula Pizza kila siku.
Tambua hata kuchemsha chai basi jamani au unadhani Google wataleta APP ambayo unaweka USB kwenye simu unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi???? Nyoooo!!!
Tumia akili ndoa kujipanga...
Usidhani ndoa ni kama kupiga picha huku umejibinua binua makalio na kujifanya kama mlemavu..mguu mmoja mrefu mwingine mfupi...
Ni mtazamo tu, Take it Or Leave it
TAKE IT OR LEAVE IT.
Umempata bwana...
Umempenda kweli...
Umemlalamikia kwa nini hakupeleki kwa wazazi..
Bwana akakupeleka kwa wazazi wake kukutambulisha.
Siku ya kwanza umeshinda unachat...
Siku ya pili umeshinda unachat...
wanakutazama tu,
Siku ya tatu ukaambiwa sasa zamu yako kupika, vya huku unaweka huku...vya hapa unaweka pale...
Yani hujui kupika kabisa...sufuria unashika utadhani umeshika powerbank, unapika na lipstick mdomoni, umevaa saa, umevaa ma culture msosi wa kula wakwe zako huwezi kupika...
Umevaa "MINISKIRT" hata wafanyakazi wa Fastjet au KQ ama Fly540 umewapiku..
Ukiambiwa kuwa hufai kuolewa unavuta mdomo kama umenyimwa ubuyu...
Unaanza sema wakwe hawakupendi ...unalalamika weeeee mpaaaka!!
Unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo tatizo..
Usitake kuolewa ukadhani mumeo atakuwa anakula chips na wewe utakuwa unakula Pizza kila siku.
Tambua hata kuchemsha chai basi jamani au unadhani Google wataleta APP ambayo unaweka USB kwenye simu unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi???? Nyoooo!!!
Tumia akili ndoa kujipanga...
Usidhani ndoa ni kama kupiga picha huku umejibinua binua makalio na kujifanya kama mlemavu..mguu mmoja mrefu mwingine mfupi...
Ni mtazamo tu, Take it Or Leave it