Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,324
- 17,846
Wadau, herini kwa sikukuu zinazendelea na poleni kwa maumivu ya ukata maana mida hii mishahara kwishnei akaunti zinasoma ndivyo sivyo
Sasa naomba niseme kitu kwa nia njema kabisa (good faith) ili kuwapa neno la tahadhari au ushauri wa bure kwa wale kina dada/mama ambao ni wapenzi wa pembeni al maarufu nyumba ndogo wa wanaume ambao wameoa tayari au wana wapenzi wao wengine
kwamba hili suala lipo na limeshamiri halina ubishi na ndio maana ni muhimu kwenda nalo kwa umakini mkubwa ili kutoumiza hisia za yeyote anayehusika
nianze kwa kusema kwamba wadada muelewe unapotongozwa na mtu mwenye mpenzi wake na ukakubali maana yake ni kwamba terms and conditions apply...umekubali kwamba kuna mwenzako na wewe utakuwa unofficial, sababu za kutongozwa zinaweza kutofautiana baina ya mtu na mtu ila mwisho wa siku hakuna mtu mwenye mke wake angependa nyumba ndogo ilete mushkeli nyumbani kwake. Hivyo hebu jaribuni kufanya/kuepuka kufanya haya
1. Epuka sana sana kumkera mwenzi wako kwa namna yeyote ile. Kumbuka wengi wenye wake zao na family tayari wana majukumu ya kikazi na kifamilia na huko huenda ana stress za kutosha, hapendi kupata tena stress kutoka kwako..kwako amefata faraja na tulizo japo kwa muda au moja kwa moja. Kuongeza stress kwake ni kama vile kudhani kuwa yeye ni mwarobaini wa matatizo yako yote hivyo 'kumsumbua' kila mara kwa msg za kutaka kwenda saluni, kitchen party, besidei, bibi mgonjwa, n.k.
2. Jali sana Muda,,,,,mkipanga kukutana sehemu kwa ajili ya 'kula bata' usiwe mchelewaji bila sababu wakati hapo umewezeshwa nauli na mambo mengine, unamfanya akufikirie vingine, lakini pia wote mna muda mfupi kwa mujibu wa sheria zetu zile,
3. uwapo kwenye 6x6 jitume, kuwa mpole and romantic, sio dakika mbili tu mara umeanza "baby come" mara umeranduka unaenda kuoga, apo mpo hoteli ya maana, unakuwa huonyeshi kujali hisia zake wala gharama. Usionyeshe kukereka eti kwa vile ametaka mdinyo na ww unajitia ashk majinuni hutaki le gadem sex
4. Usitake pesa immediately after sex, itakufanya uonekane ma.laya, ijapokuwa usingependa kuonekana hivyo, wanaume wanaojitambua huwa wana attend mahitaji yako MUHIMU bila kuambiwa. Anakukatia mshiko wa maana, nenda kanunue vya muhimu sio unapewa laki tatu halafu after one hour umetuma zile msg za kukera "tafadhali niongezee salio"
5. Usitake kufanya ushindani na nyumba kubwa, in fact show respect kwake na usipende kuanzisha maongezi ya kuihusisha na mahusiano yenu. Mfano kama unapenda kwenda kiwanja fulani ww sema tu ila usiseme 'mbona umempeleka mama Mcharo Yamoto band, na mimi nipeleke Malaika Band"....hapo unatuma salam kwamba umepewa lift unataka kupiga na honi, haileti picha nzuri hata kidogo.
6. Jiweke kuwa msafi muda wote, sifa yako muhimu ndio hiyo otherwise kama unakuwa hovyp hovyo, nambie sababu ya wewe kuendelea kuwa naye ni ninii? Usafi sio wa nje tu hata wa ndani
7. Kuna hili la wengine kukariri kwamba wanaume wanapenda kukatiwa mauno kama ya Akudo muda wote basi akifika kunako uwanjani anakata le gademu mauno kuanzia mwanzo hadi mwisho, aloo apo kwani jukwaani? Mdinyo ni mpana sana na sio mauno tu
9. Kuwa wazi kuhusu mahusiano yako kama unayo mengine, mf kama una Boyfriend mwingine nk, sio unajifanya kauzu na kumfanyia mwenzio emotional blackmailing kwa vile unalipiza kutendwa na mjamaa kabla, unakuwa upo naye tu kama kumkomoa(kujikomoa?)...ukiwa wazi kwake anaweza kukushauri pia how to get over it maana wengi wana uzoefu wa mahusiano. Lakini pia itasaidia mambo mengi maana wengine inakuwa upo na mtu wako ila muda wote simu iko busy mara kupokea mara kupiga na haijulikani zinatoka wapi
10. Epuka sana kumjadili mtu wako na mashosti zako....hilo linaonyesha baadaye kuwa na mwitikio has maana watamwinda na wenyewe wapate kufaidi au kukukomoa.
11. Onyesha kwamba ni mtu wa kufikiria maendeleo pia, sio kula bata tu. Mshirikishe mipango yako ya mbeleni kama kusoma zaidi, kujenga, kutafuta kazi nzuri zaidi nk, atakuunganisha.
Ni hayo kwa sasa wengine mnaweza kujazia. Niseme tena in good faith sikusudii kumuoffend mtu ila ni mambo ambayo yapo ndani ya jamii na uratibu ni muhimu....ili kupunguza kutokuelewana kusikokuwa na lazima.
wazee wenzangu mna lipi la kuongezea?
CC Teamo, na The Boss, hii isomwe pamoja na "the Guide" you know
CC Asprin RR Fidel80 Filipo mwekundu OLESAIDIMU Himidini Pdidy Mr Rocky Nicas Mtei paka jimmy Mtoto halali na hela @ kikulachochako mdukuzi Mwanyasi warumi @ eiyer mgiriki Elli MO11 Tyta watu8 Matola mshana jr GOOGLE utafiti Vin Diesel KakaKiiza Ntuzu Dark City TANMO Eli79
Mabebs mnasemaje?
masai dada mwanajamii1 Rose1980 LD Askofu Kim nana tinna cute Heaven on Earth Honey Faith mamaafacebook Ennie lara 1 charminglady mwallu Khantwe Preta miss neddy Evelyn faith Mamndenyi miss chagga everlenk atoto DEMBA Arabela na wengineo wote
Mawatakia mwisho wa mwaka mwema wote tuuone mwaka 2015!
Update1
Update 2
Sasa naomba niseme kitu kwa nia njema kabisa (good faith) ili kuwapa neno la tahadhari au ushauri wa bure kwa wale kina dada/mama ambao ni wapenzi wa pembeni al maarufu nyumba ndogo wa wanaume ambao wameoa tayari au wana wapenzi wao wengine
kwamba hili suala lipo na limeshamiri halina ubishi na ndio maana ni muhimu kwenda nalo kwa umakini mkubwa ili kutoumiza hisia za yeyote anayehusika
nianze kwa kusema kwamba wadada muelewe unapotongozwa na mtu mwenye mpenzi wake na ukakubali maana yake ni kwamba terms and conditions apply...umekubali kwamba kuna mwenzako na wewe utakuwa unofficial, sababu za kutongozwa zinaweza kutofautiana baina ya mtu na mtu ila mwisho wa siku hakuna mtu mwenye mke wake angependa nyumba ndogo ilete mushkeli nyumbani kwake. Hivyo hebu jaribuni kufanya/kuepuka kufanya haya
1. Epuka sana sana kumkera mwenzi wako kwa namna yeyote ile. Kumbuka wengi wenye wake zao na family tayari wana majukumu ya kikazi na kifamilia na huko huenda ana stress za kutosha, hapendi kupata tena stress kutoka kwako..kwako amefata faraja na tulizo japo kwa muda au moja kwa moja. Kuongeza stress kwake ni kama vile kudhani kuwa yeye ni mwarobaini wa matatizo yako yote hivyo 'kumsumbua' kila mara kwa msg za kutaka kwenda saluni, kitchen party, besidei, bibi mgonjwa, n.k.
2. Jali sana Muda,,,,,mkipanga kukutana sehemu kwa ajili ya 'kula bata' usiwe mchelewaji bila sababu wakati hapo umewezeshwa nauli na mambo mengine, unamfanya akufikirie vingine, lakini pia wote mna muda mfupi kwa mujibu wa sheria zetu zile,
3. uwapo kwenye 6x6 jitume, kuwa mpole and romantic, sio dakika mbili tu mara umeanza "baby come" mara umeranduka unaenda kuoga, apo mpo hoteli ya maana, unakuwa huonyeshi kujali hisia zake wala gharama. Usionyeshe kukereka eti kwa vile ametaka mdinyo na ww unajitia ashk majinuni hutaki le gadem sex
4. Usitake pesa immediately after sex, itakufanya uonekane ma.laya, ijapokuwa usingependa kuonekana hivyo, wanaume wanaojitambua huwa wana attend mahitaji yako MUHIMU bila kuambiwa. Anakukatia mshiko wa maana, nenda kanunue vya muhimu sio unapewa laki tatu halafu after one hour umetuma zile msg za kukera "tafadhali niongezee salio"
5. Usitake kufanya ushindani na nyumba kubwa, in fact show respect kwake na usipende kuanzisha maongezi ya kuihusisha na mahusiano yenu. Mfano kama unapenda kwenda kiwanja fulani ww sema tu ila usiseme 'mbona umempeleka mama Mcharo Yamoto band, na mimi nipeleke Malaika Band"....hapo unatuma salam kwamba umepewa lift unataka kupiga na honi, haileti picha nzuri hata kidogo.
6. Jiweke kuwa msafi muda wote, sifa yako muhimu ndio hiyo otherwise kama unakuwa hovyp hovyo, nambie sababu ya wewe kuendelea kuwa naye ni ninii? Usafi sio wa nje tu hata wa ndani
7. Kuna hili la wengine kukariri kwamba wanaume wanapenda kukatiwa mauno kama ya Akudo muda wote basi akifika kunako uwanjani anakata le gademu mauno kuanzia mwanzo hadi mwisho, aloo apo kwani jukwaani? Mdinyo ni mpana sana na sio mauno tu
9. Kuwa wazi kuhusu mahusiano yako kama unayo mengine, mf kama una Boyfriend mwingine nk, sio unajifanya kauzu na kumfanyia mwenzio emotional blackmailing kwa vile unalipiza kutendwa na mjamaa kabla, unakuwa upo naye tu kama kumkomoa(kujikomoa?)...ukiwa wazi kwake anaweza kukushauri pia how to get over it maana wengi wana uzoefu wa mahusiano. Lakini pia itasaidia mambo mengi maana wengine inakuwa upo na mtu wako ila muda wote simu iko busy mara kupokea mara kupiga na haijulikani zinatoka wapi
10. Epuka sana kumjadili mtu wako na mashosti zako....hilo linaonyesha baadaye kuwa na mwitikio has maana watamwinda na wenyewe wapate kufaidi au kukukomoa.
11. Onyesha kwamba ni mtu wa kufikiria maendeleo pia, sio kula bata tu. Mshirikishe mipango yako ya mbeleni kama kusoma zaidi, kujenga, kutafuta kazi nzuri zaidi nk, atakuunganisha.
Ni hayo kwa sasa wengine mnaweza kujazia. Niseme tena in good faith sikusudii kumuoffend mtu ila ni mambo ambayo yapo ndani ya jamii na uratibu ni muhimu....ili kupunguza kutokuelewana kusikokuwa na lazima.
wazee wenzangu mna lipi la kuongezea?
CC Teamo, na The Boss, hii isomwe pamoja na "the Guide" you know
CC Asprin RR Fidel80 Filipo mwekundu OLESAIDIMU Himidini Pdidy Mr Rocky Nicas Mtei paka jimmy Mtoto halali na hela @ kikulachochako mdukuzi Mwanyasi warumi @ eiyer mgiriki Elli MO11 Tyta watu8 Matola mshana jr GOOGLE utafiti Vin Diesel KakaKiiza Ntuzu Dark City TANMO Eli79
Mabebs mnasemaje?
masai dada mwanajamii1 Rose1980 LD Askofu Kim nana tinna cute Heaven on Earth Honey Faith mamaafacebook Ennie lara 1 charminglady mwallu Khantwe Preta miss neddy Evelyn faith Mamndenyi miss chagga everlenk atoto DEMBA Arabela na wengineo wote
Mawatakia mwisho wa mwaka mwema wote tuuone mwaka 2015!
Update1
Mkuu Kaizer naomba niongezee kidogo..
15.Ukipanda kwenye gari kwa wale wenye nayo ukae kiti cha nyuma kwenye tinted manake ma-Bi Wakubwa wengine hawataki tint vioo vya mbele.
16.Hutakiwa kwa namna yoyote ile ku-criticize mmiliki halali kwa muoekano,style wala matendo yake hata kama unayajua kwa kuambiwa au kwa kuona.
17.Muda wa mawasiliano uwe tu pale unapopewa go-ahead ili kuondoa suspicion yoyote kwa mmiliki halali.Utakuwa na uhuru wa kutuma messaga na wassup siku za kazi na wakati wa kazi ila weekend na siku nyingine napokuwa nyumbani please stay away hata kama unaniona online kwenye whatsup
Update 2
Kwa kuongeza pia msipende kusimulia mapungufu ya mkeo kwa nyumba ndogo e.g mke wangu hajui kupika, mke wangu mvivu, housegal ndio anafanya kila kazi nyumbani, mke wangu ni mtu wa vikao na kitchen party hana muda na mimi na bla bla kibao.
Kufanya hivi ni kuipa nafasi nyumba ndogo kucheza karata zake vizuri ili kukuteka kiakili baada ya kugundua nini hukipati kwa mkeo.
Ndio ile unaona dume zima sasa linaloea nyumba ndogo, na kusahau familia kwa sababu ya mambo ambayo baba kayasababisha.
Ukiwa na nyumba ndogo, ongeeni yenu, msifie pale anapofanya la kukufurahisha lakini huna sababu ya kulinganisha.
Epuka kumtaja taja mkeo ukiwa na nyumba ndogo, maana haimhusu, ulijua una mke lakini bado ulikuja kwangu, hivyo habari za mkeo hazina tija hata moja kwenye mahusiano yetu.
Kwa vile umeamua mwenyewe kua na nyumba ndogo, bila kulazimishwa na mtu na una sababu za msingi kufanya hivyo, basi nyumba ndogo ikikuheshimu, kukuthamini na kukupa unachostahili, basi na wewe lipa fadhila kwa kuitendea haki inayostahili.
Ni haya kwa sasa, nikikumbuka mengine nitaingezea.
Sent from my iPhone using JamiiForums