Fauya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 262
- 479
Nyie mnaolalamika wanawake wa sikuhizi wanapenda hela inaonesha hamjakaa na bibi zenu wakawaambia maisha yalivokuwa kipindi hicho miaka ya 1940, 50, na miaka ya zamani mingine.
Mwanamke alikua anaolewa na mwanaume mwenye uwezo wa kumuhudumia yeye pamoja na watoto wake na pia ikitokea tatizo ukweni mwanaume awe na uwezo wa kulitatua. Biblia inasema tuishi na wake zetu kwa akili, lakini umewahi kujiuliza ni akili ipi inayoongelewa hapo?
Huku mjini kulingana na mabadiliko ya teknolojia na utandawazi mtu mwenye akili ni yule mwenye gari mwenye nyumba mwenye uwezo wa kubadili mboga mwenye uwezo wa kuvaa na kupendeza mwenye uwezo wa kumiliki simu kali yaani kiufupi mtu mwenye pesa ndo ana akili kwa mantiki hiyo wanawake wanavotaka kuwa na mwanaume mwenye pesa ni wanatimiza neno la Biblia na pia ni asili ya mwanamke kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kumhudumia.
Marehemu bibi yangu aliwahi kunambia kipindi akiwa msichana mdogo wapo wanaume wengi waliokua wanataka wamtolee mahari lakini alimchagua babu kwasababu alikua anafanya kazi na anapata pesa (babu yangu alikua capenter)
Mwanamke alikua anaolewa na mwanaume mwenye uwezo wa kumuhudumia yeye pamoja na watoto wake na pia ikitokea tatizo ukweni mwanaume awe na uwezo wa kulitatua. Biblia inasema tuishi na wake zetu kwa akili, lakini umewahi kujiuliza ni akili ipi inayoongelewa hapo?
Huku mjini kulingana na mabadiliko ya teknolojia na utandawazi mtu mwenye akili ni yule mwenye gari mwenye nyumba mwenye uwezo wa kubadili mboga mwenye uwezo wa kuvaa na kupendeza mwenye uwezo wa kumiliki simu kali yaani kiufupi mtu mwenye pesa ndo ana akili kwa mantiki hiyo wanawake wanavotaka kuwa na mwanaume mwenye pesa ni wanatimiza neno la Biblia na pia ni asili ya mwanamke kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kumhudumia.
Marehemu bibi yangu aliwahi kunambia kipindi akiwa msichana mdogo wapo wanaume wengi waliokua wanataka wamtolee mahari lakini alimchagua babu kwasababu alikua anafanya kazi na anapata pesa (babu yangu alikua capenter)