Huo ni ukosefu wa akili kijana wa kiume unatakiwa upambane uwe na uwezo wa kuwalea wategemezi wako na sio wewe ndo uwe tegemezi kwa mwanamkeKwakulijua hilo ndiyo maana nasisi tunatafuta wasichana wenye ajira zao hapa mujini ili kubalance mizani Wengine wanaenda mbali wanaona bora kulelewa ili kukwepa kuelemewa na uzito wa majukumu
Sasa si tunasaidiana weee kilazaHuo ni ukosefu wa akili kijana wa kiume unatakiwa upambane uwe na uwezo wa kuwalea wategemezi wako na sio wewe ndo uwe tegemezi kwa mwanamke
Kabla hawajaolewa wanaomba sana mizinga ni mingi unapigwa mizinga mpaka unanyookaKuna tofauti kati ya udangaji na kuolewa. Wale wanaodanga wajihudumie wenyewe ila wale walioolewa wahudumiwe na waume zao.
Shida inakuja pale mdangaji anapoolewa
Uzoefu unaonyesha hawa wenye ajira ndio wanaongoza kwa kupiga sana vibomu tena vikubwa vikubwa kuliko wale wasio na ajira.Kwakulijua hilo ndiyo maana nasisi tunatafuta wasichana wenye ajira zao hapa mujini ili kubalance mizani
Mmmh wala..... wakwako tuuUzoefu unaonyesha hawa wenye ajira ndio wanaongoza kwa kupiga sana vibomu tena vikubwa vikubwa kuliko wale wasio na ajira.
Asie na ajira atakupiga kizinga cha 10k - 50k. Mwenye ajira sasa, utasikia mara naomba laki 6 nilichukua salary advance ofisini, mara niazime 300k nijazie kodi, mara iphone imepasuka naomba 200k nikaeke kioo, mara tunaenda "tua" naomba niongezee 500kMmmh wala..... wakwako tuu
Ulichukua salary advance, na mimi nilichukuaAsie na ajira atakupiga kizinga cha 10k - 50k. Mwenye ajira sasa, utasikia mara naomba laki 6 nilichukua salary advance ofisini, mara niazime 300k nijazie kodi, mara iphone imepasuka naomba 200k nikaeke kioo, mara tunaenda "tua" naomba niongezee 500k
πUlichukua salary advance, na mimi nilichukua
Kodi na mimi nalipa, "tua" na mimi naenda za ofisini kwetu
Hizi gharama zangu atanilipia nani kama mimi nakulipia wewe? Niliwai kumjibu hivi girl mmoja mpaka leo hajawai kunipiga kizinga
Hapo kwenye usawa wa 50/50 ndo sipatani napo na ndo wanapoharibu mwanaume kiasilia ni 80% na zaidi alafu mwanamke ni 20% and belowAksnt kwa kwakutupa rejea ,
Tutazngatia
Tatzo sasa wanatak ela na usaw ndio shid
Zaman atakuchagua mwenye ela ila wataish kwakuyajenga maish kwa malengo Yao hawa wa sasa wanamatumiz makubwa yao binafs
Kumbe na ww ni UWABATAUkikua utaacha ujinga na utajiunga kwenye Chama cha Wanaume Bahiri Tanzania (UWABATA), ngoja tukupe muda.
KATAA NDOA, KATAA MATAPELI.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
mkuu mbona hilo linajulikana kwa wanaumeNyie mnaolalamika wanawake wa sikuhizi wanapenda hela inaonesha hamjakaa na bibi zenu wakawaambia maisha yalivokuwa kipindi hicho miaka ya 1940, 50, na miaka ya zamani mingine.
Mwanamke alikua anaolewa na mwanaume mwenye uwezo wa kumuhudumia yeye pamoja na watoto wake na pia ikitokea tatizo ukweni mwanaume awe na uwezo wa kulitatua. Biblia inasema tuishi na wake zetu kwa akili, lakini umewahi kujiuliza ni akili ipi inayoongelewa hapo?
Huku mjini kulingana na mabadiliko ya teknolojia na utandawazi mtu mwenye akili ni yule mwenye gari mwenye nyumba mwenye uwezo wa kubadili mboga mwenye uwezo wa kuvaa na kupendeza mwenye uwezo wa kumiliki simu kali yaani kiufupi mtu mwenye pesa ndo ana akili kwa mantiki hiyo wanawake wanavotaka kuwa na mwanaume mwenye pesa ni wanatimiza neno la Biblia na pia ni asili ya mwanamke kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kumhudumia.
Marehemu bibi yangu aliwahi kunambia kipindi akiwa msichana mdogo wapo wanaume wengi waliokua wanataka wamtolee mahari lakini alimchagua babu kwasababu alikua anafanya kazi na anapata pesa (babu yangu alikua capenter)
Hakiiiiiiiiika lo
Shkamoo Mkuu ππsawa sie tusionakazi punyeto tutapiga hata usijali ikibidi tutatumia mpaka sabuni ya unga ama utomvu
marahabaShkamoo Mkuu ππ