Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
kuitana mpz tu ni kosa ?
waitane majina yote km hawafanyi wala hawamit tatizo nin?
nomino si vitenzi ......waitane tu majina yote ya paradiso mpk ya eden si issue
lakin ntaitaj kujua wnachat nini uko chemba+paswod nipewe....ilo tu
ninachojua mimi haya ma social networking websites yanaharibu sana mahusiano ya watu.
Nwayz, nimeona niulize tu nione misimamo na maoni ya wadau
Kwa nini unakataa kama ni wewe? Wakati huohuo wewe unasema akiflirt its ok akupe tu p/word yake usome pm zake, huo si ubinafsi? Mpe na wewe yako aone yaliyomo sirini Rose!mhh akijua patachimbika....thou swaga na uandsh wangu anaujua so i kp on kukataa isnt me....haha hah kaz kwl kweeeeli!!!
Kwa nini hayo yote Dena?Mungu wangu itakuwa ni balaa anaweza akazimia mwezi mzima atashangaa kweli ni mimi au ni mwingine au anaota?? Patakuwa hapatoshi
Kwa nini hayo yote Dena?
Uhuru si una mipaka lakini? Mi nadhani ukizingatia hilo hutakuwa na shaka.Hapa si kuna uhuru wa kuongea bwana kwani unafikiri naweza kuyaongea ya humu home we thubutu
Uhuru si una mipaka lakini? Mi nadhani ukizingatia hilo hutakuwa na shaka.
sijamaanisha hivo ila nimesema hapa kuna uhuru lakini si unajua hata uhuru wenyewe una mipaka?Una maana nimevuka mipaka????
sijamaanisha hivo ila nimesema hapa kuna uhuru lakini si unajua hata uhuru wenyewe una mipaka?
Kwangu mimi sitapenda kuona wangu anaitana itana na watu huku majina ya kimahaba. Safari huanziaha nyingine.
Yuko huru na niko huru kuchangia lakini lazima kuweka akilini hiyo mipaka ya uhuru.
si watu husema kuingia kwenye mahusiano (ya ndoa/mapenzi) ni kuuza uhuru?
Dena unaogopa kuishia Rombo Green View?
Usiniogope, mi na linda vyangu tu Dena.Ila na wewe sasa umezidisha hizo principals zako bwana kwani dear, my love, my darling kwa kiswahili mpendwa, mpenzi. Mbona barua za kuomba kazi tunaandia Dear Sir/Madam. Mie sioni tatizo hapo kwa majina mradi isifike kwenye PM mkaanzisha safari moja mara ooohhh pale kona ya shekilango hotel gani tena vile siju. Wewe unaonyesha mkali sana nakuogopa
Hajui..hajui!Kwenu nyie wana JF hususan mlioko kwenye mahusiano ya urafiki wa kimapenzi na ndoa na ambao ni wadau wakubwa wa MMU, je mwenzako anajua kama uko hapa? Anajua jina utumialo? Na wewe je unajua kama yeye yupo na jina alitumialo? Je kama ana vivuli vingi (multiple user IDs) unavijua vyote?