Kwenu wadada wenye ma-bodyguard

Kwenu wadada wenye ma-bodyguard

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
Habarini!

Niwaambie tu ukweli, nyie wadada wenye pesa zenu mnaotafuta mabaunsa wa kutembea nao nyuma a.k.a (bodyguard) hasa ma celebrity wengi hapa bongo. Ni kwanini mnatafuta wa kiume badala ya wa kike mwenzio?

Ushawahi jiuliza swali hata moja, kama ikatokea upo mbele ya kadamnasi alafu nguo yako nyuma imechafuka (bleeding) huyo bodyguard ataanzaje kumwambia bosi umejichafua nyuma?

Mbaya zaidi mabodyguard wenyewe wakiwaga kwenye matukio macho yanakuaga juu juu yanasubili udondoke wakudake basi.
 
Hawaombagi kazi ya u bodyguard hivi
Wapigie simu uombe kazi
 
Wale Sio Mabody Guard Ni Watunisha Vifua, Huwezi Kukuta Body Guard ana Limwili Lukuuubwa Kama Wale Wa Harmonize au Nasib Abdul.
Sifa za Mtu anaitwa Body Guards Ni:
High Concetration Level
Lazima uwe Intelligent
Pia uwe Versatile
Maximum Endurance Level inahitajika
Uwe Educated Enough.
Uwe Physically Fit
Na pia uwe Loyalist etc.
 
Wale Sio Mabody Guard Ni Watunisha Vifua, Huwezi Kukuta Body Guard ana Limwili Lukuuubwa Kama Wale Wa Harmonize au Nasib Abdul.
Sifa za Mtu anaitwa Body Guards Ni:
High Concetration Level
Lazima uwe Intelligent
Pia uwe Versatile
Maximum Endurance Level inahitajika
Uwe Educated Enough.
Uwe Physically Fit
Na pia uwe Loyalist etc.
Na ni lazima uwe from Beijing
 
Habarini!

Niwaambie tu ukweli, nyie wadada wenye pesa zenu mnaotafuta mabaunsa wa kutembea nao nyuma a.k.a (bodyguard) hasa ma celebrity wengi hapa bongo.

Ni kwanini mnatafuta wa kiume badala ya wa kike mwenzio?

Ushawahi jiuliza swali hata moja, kama ikatokea upo mbele ya kadamnasi alafu nguo yako nyuma imechafuka (bleeding) huyo bodyguard ataanzaje kumwambia bosi umejichafua nyuma? Mbaya zaidi mabodyguard wenyewe wakiwaga kwenye matukio macho yanakuaga juu juu yanasubili udondoke wakudake basi.
Kwani wakiwa blidi huwa wanachafuka nyuma?
 
Habarini!

Niwaambie tu ukweli, nyie wadada wenye pesa zenu mnaotafuta mabaunsa wa kutembea nao nyuma a.k.a (bodyguard) hasa ma celebrity wengi hapa bongo.

Ni kwanini mnatafuta wa kiume badala ya wa kike mwenzio?

Ushawahi jiuliza swali hata moja, kama ikatokea upo mbele ya kadamnasi alafu nguo yako nyuma imechafuka (bleeding) huyo bodyguard ataanzaje kumwambia bosi umejichafua nyuma? Mbaya zaidi mabodyguard wenyewe wakiwaga kwenye matukio macho yanakuaga juu juu yanasubili udondoke wakudake basi.
Hivi Bongo kuna celebrities kweli?
 
Yani mabodyguard kwa mastaa wa kibongo ni vichekesho.
 
Na hizi pantliners bado kuna watu wanachafuka ghafla katika hali ya kawaida tu?
 
Back
Top Bottom