Kwenu wadogo zangu wa kiume ambao hamjafika third floor(miaka 30)

Kwenu wadogo zangu wa kiume ambao hamjafika third floor(miaka 30)

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Kwenu wadogo zangu ambao bado mpo 20's kumbukeni ya kwamba huyo demu ulienae ana uwezekano mkubwa sana wa kutoboa kimaisha hata leo hii tofauti na wewe.

Usidanganyike kwamba yupo na wewe kwa sababu anakupenda ukweli ni kwamba yupo na wewe kwa sababu hajapata mwanaume wa fantansies zake.

Nataka kusema nini, katika huo umri wenu wadogo zangu ni wakati muafaka wa kutengeneza njia za maisha yenu, pambania ndoto zako, tafuta kusudi lako la maisha, everyday make sure you do something to get you closer to your dreams or purpose.

Don't waste your time or resources because of women, you owe women nothing, you don't have responsibility to give her life style or luxuries which her father failed to give her. She have father, mother, sisters, brothers, ancles let them do their job.

Najua unapitia kipindi cha kukataliwa lakini hiyo isikupe shida tambua ya kwamba thamani ya mwanaume inaanzia chini na thamani ya mwanamke inaanzia juu. Utakapofika 30's hawa hawa wanawake wanakusumbua thamani zao zitakuwa chini na thamani yako itakuwa juu.

Tambua ya kwamba hao wanawake unaoona sio wa level yako walichokuzidi ni kwamba wao wamewekeza kwenye miili yao yaani nguo, vipodozi n.k ukiondoa hivyo karibu wote hawana kitu, hawana chochote kwenye akaunti za benki, hawana investment yoyote and most of them are empty-head.

Don't lose focus, strive for your dreams, trust the process.

Leo nina mzuka wa kumwaga nondo halafu kiswahili hakipandi kabisa. Sijui ni hizi serengeti lager nilizonazo kichwani au nini.
 
Japo nishaaga huo umri lakini ni vizuri tukianza kuongelea healthy relationships pia kwa sababu tunavyojiingiza zaidi kwenye wanaume vs wanawake. Au kuona kama pande flani ni kikwazo tu inatuondolea uwezo wa kuona upande mzuri wa shilingi

Naamini kila mmoja apambane kuwa na kitu kinachomridhisha, kama mtu akipata mwanamke mwema na wa kumvumilia. Bhasi asimuache na akiziona dalili mbovu bhasi asizipuuze.
 
Japo nishaaga huo umri lakini ni vizuri tukianza kuongelea healthy relationships pia kwa sababu tunavyojiingiza zaidi kwenye wanaume vs wanawake. Au kuona kama pande flani ni kikwazo tu inatuondolea uwezo wa kuona upande mzuri wa shilingi

Naamini kila mmoja apambane kuwa na kitu kinachomridhisha, kama mtu akipata mwanamke mwema na wa kumvumilia. Bhasi asimuache na akiziona dalili mbovu bhasi asizipuuze.
Ni kweli mkuu japo ni muhimu mwanaume akapewa taadhari zaidi maana maana mwanaume ukiyatimba hakuna wa kukuokoa zaidi ya Mungu na mwanaume mwenzako

Ukiangalia wanawake washatoka kwenye hatua ya mapenzi ya kweli sasa hivi wapo kwenye mapenzi ya masilahi ila bado wanaume wanajivuta vuta kwenda na mabadiliko ya nyakati na mbaya zaidi mifumo ya kidunia sio rafiki kwetu mtoto wa kiume akija kushtuka ashapigwa na kitu kizito, hana mtetezi, hana wa kumuokoa anaishia kuwa laughing stock.

We fight to be heroes while women are opportunistics, we have to adjust ourselves in this game. Hope for the better but don't forget to be prepared for the worst
 
Kwenu wadogo zangu ambao bado mpo 20's kumbukeni ya kwamba huyo demu ulienae ana uwezekano mkubwa sana wa kutoboa kimaisha hata leo hii tofauti na wewe.

Usidanganyike kwamba yupo na wewe kwa sababu anakupenda ukweli ni kwamba yupo na wewe kwa sababu hajapata mwanaume wa fantansies zake.

Nataka kusema nini, katika huo umri wenu wadogo zangu ni wakati muafaka wa kutengeneza njia za maisha yenu, pambania ndoto zako, tafuta kusudi lako la maisha, everyday make sure you do something to get you closer to your dreams or purpose.

Don't waste your time or resources because of women, you owe women nothing, you don't have responsibility to give her life style or luxuries which her father failed to give her. She have father, mother, sisters, brothers, ancles let them do their job.

Najua unapitia kipindi cha kukataliwa lakini hiyo isikupe shida tambua ya kwamba thamani ya mwanaume inaanzia chini na thamani ya mwanamke inaanzia juu. Utakapofika 30's hawa hawa wanawake wanakusumbua thamani zao zitakuwa chini na thamani yako itakuwa juu.

Tambua ya kwamba hao wanawake unaoona sio wa level yako walichokuzidi ni kwamba wao wamewekeza kwenye miili yao yaani nguo, vipodozi n.k ukiondoa hivyo karibu wote hawana kitu, hawana chochote kwenye akaunti za benki, hawana investment yoyote and most of them are empty-head.

Don't lose focus, strive for your dreams, trust the process.

Leo nina mzuka wa kumwaga nondo halafu kiswahili hakipandi kabisa. Sijui ni hizi serengeti lager nilizonazo kichwani au nini.
Ushauri mzuri sana huu kwa vijana.
 
TUTALICHUNGUZA KAMA MAPENZI YAPO KATAVI AU OSTABEY
GSY2ZwAWwAAXivk.jpg
 
Inategemeana na ulienae, inahisi ujifanyie assessment mwenyewe.

Dem mpenda pesa anaonekana tu.
Ama lah usidate na dem aliekuzidi shida.
 
Kwenu wadogo zangu ambao bado mpo 20's kumbukeni ya kwamba huyo demu ulienae ana uwezekano mkubwa sana wa kutoboa kimaisha hata leo hii tofauti na wewe.

Usidanganyike kwamba yupo na wewe kwa sababu anakupenda ukweli ni kwamba yupo na wewe kwa sababu hajapata mwanaume wa fantansies zake.

Nataka kusema nini, katika huo umri wenu wadogo zangu ni wakati muafaka wa kutengeneza njia za maisha yenu, pambania ndoto zako, tafuta kusudi lako la maisha, everyday make sure you do something to get you closer to your dreams or purpose.

Don't waste your time or resources because of women, you owe women nothing, you don't have responsibility to give her life style or luxuries which her father failed to give her. She have father, mother, sisters, brothers, ancles let them do their job.

Najua unapitia kipindi cha kukataliwa lakini hiyo isikupe shida tambua ya kwamba thamani ya mwanaume inaanzia chini na thamani ya mwanamke inaanzia juu. Utakapofika 30's hawa hawa wanawake wanakusumbua thamani zao zitakuwa chini na thamani yako itakuwa juu.

Tambua ya kwamba hao wanawake unaoona sio wa level yako walichokuzidi ni kwamba wao wamewekeza kwenye miili yao yaani nguo, vipodozi n.k ukiondoa hivyo karibu wote hawana kitu, hawana chochote kwenye akaunti za benki, hawana investment yoyote and most of them are empty-head.

Don't lose focus, strive for your dreams, trust the process.

Leo nina mzuka wa kumwaga nondo halafu kiswahili hakipandi kabisa. Sijui ni hizi serengeti lager nilizonazo kichwani au nini.
Watu wapate elimu
 
Back
Top Bottom