Kwenu waislamu: Jengo lililonusurika kwenye moto wa Marekani ni kutokana na uimara wake wala sio muujiza

Kwenu waislamu: Jengo lililonusurika kwenye moto wa Marekani ni kutokana na uimara wake wala sio muujiza

hamis77

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
13,628
Reaction score
20,992
Kwenu Waislamu

Ingekuwa ni msikiti hapo, dunia ingekuwa imetokwa jasho kwa kelele za Waislamu mitandaoni.

FB_IMG_1736881564020.jpg

Huo wala sio mujiza kwangu, jengo halijashika moto sababu ya uimara wake na pia limejengwa na saruji. Miji mingi Marekani imejengwa kwa mbao, hivyo ni rahisi kushika moto.

Waislamu wanaopiga kelele mitandaoni kwamba Allah ameiadhibu Marekani sababu ya Gaza, ni wazushi. Wamesahau kuwa juzi Dubai, ilipitia mafuruko makuu ama Uturuki nayo ilipitia janga kuu la tetemeko la ardhi lililoua watu takribana 50 elfu. Na Maka yenyewe ilipigwa na mvua ya mawe na nzige. Je Allah ndio aliupiga msikiti wake? Msiwe wepesi kusahau.

Post zingine zinakuja juu yenu

FB_IMG_1736881564020.jpg
 
Kwenu Waislamu

Ingekuwa ni msikiti hapo, dunia ingekuwa imetokwa jasho kwa kelele za Waislamu mitandaoni.
View attachment 3201958
Huo wala sio mujiza kwangu, jengo halijashika moto sababu ya uimara wake na pia limejengwa na saruji. Miji mingi Marekani imejengwa kwa mbao, hivyo ni rahisi kushika moto.

Waislamu wanaopiga kelele mitandaoni kwamba Allah ameiadhibu Marekani sababu ya Gaza, ni wazushi. Wamesahau kuwa juzi Dubai, ilipitia mafuruko makuu ama Uturuki nayo ilipitia janga kuu la tetemeko la ardhi lililoua watu takribana 50 elfu. Na Maka yenyewe ilipigwa na mvua ya mawe na nzige. Je Allah ndio aliupiga msikiti wake? Msiwe wepesi kusahau.

Post zingine zinakuja juu yenu

View attachment 3201956
Photoshop eyeshadow trend sanaa kwenye media za nje, ni uongo mtupu, kuna mtu aliuliza fuali manaagani wa kuristo wapoteze nyumba zao wahame hiyo kanisa nani ataudhuria mungu sio wahajabu kiasi hicho
 
Kwenu Waislamu

Ingekuwa ni msikiti hapo, dunia ingekuwa imetokwa jasho kwa kelele za Waislamu mitandaoni.
View attachment 3201958
Huo wala sio mujiza kwangu, jengo halijashika moto sababu ya uimara wake na pia limejengwa na saruji. Miji mingi Marekani imejengwa kwa mbao, hivyo ni rahisi kushika moto.

Waislamu wanaopiga kelele mitandaoni kwamba Allah ameiadhibu Marekani sababu ya Gaza, ni wazushi. Wamesahau kuwa juzi Dubai, ilipitia mafuruko makuu ama Uturuki nayo ilipitia janga kuu la tetemeko la ardhi lililoua watu takribana 50 elfu. Na Maka yenyewe ilipigwa na mvua ya mawe na nzige. Je Allah ndio aliupiga msikiti wake? Msiwe wepesi kusahau.

Post zingine zinakuja juu yenu

View attachment 3201956
Naona unajitekenya na kucheka mwenyewe.
 
Kunawatu dini zinatufanya tuonekane hamnazo unaweza Kuta hata muda wa kufanya ibada hatuma ,tunadhulumu
Hatuwasaidii yatima na wajane
Tujitahid kufanya mema kwaajili ya kesho zetu kama tunaamin na tunampenda Mungu aliyetuumba 🙏

Tuishi Kwa upendo na amani na Kila mtu kwa kile anachoamini
 
Kwenu Waislamu

Ingekuwa ni msikiti hapo, dunia ingekuwa imetokwa jasho kwa kelele za Waislamu mitandaoni.
View attachment 3201958
Huo wala sio mujiza kwangu, jengo halijashika moto sababu ya uimara wake na pia limejengwa na saruji. Miji mingi Marekani imejengwa kwa mbao, hivyo ni rahisi kushika moto.

Waislamu wanaopiga kelele mitandaoni kwamba Allah ameiadhibu Marekani sababu ya Gaza, ni wazushi. Wamesahau kuwa juzi Dubai, ilipitia mafuruko makuu ama Uturuki nayo ilipitia janga kuu la tetemeko la ardhi lililoua watu takribana 50 elfu. Na Maka yenyewe ilipigwa na mvua ya mawe na nzige. Je Allah ndio aliupiga msikiti wake? Msiwe wepesi kusahau.

Post zingine zinakuja juu yenu

View attachment 3201956
 
Hakuna maajabu hapo, kanisa limejengwa kwa matofali na limeezekwa kwa vigae.

Nyumba zilizoungua zimejengwa kwa mbao.
 
Wanatamani kama mtakufuru kama walivyokufuru wao, ili muwe sawa sawa
 
Kwenu Waislamu

Ingekuwa ni msikiti hapo, dunia ingekuwa imetokwa jasho kwa kelele za Waislamu mitandaoni.
View attachment 3201958
Huo wala sio mujiza kwangu, jengo halijashika moto sababu ya uimara wake na pia limejengwa na saruji. Miji mingi Marekani imejengwa kwa mbao, hivyo ni rahisi kushika moto.

Waislamu wanaopiga kelele mitandaoni kwamba Allah ameiadhibu Marekani sababu ya Gaza, ni wazushi. Wamesahau kuwa juzi Dubai, ilipitia mafuruko makuu ama Uturuki nayo ilipitia janga kuu la tetemeko la ardhi lililoua watu takribana 50 elfu. Na Maka yenyewe ilipigwa na mvua ya mawe na nzige. Je Allah ndio aliupiga msikiti wake? Msiwe wepesi kusahau.

Post zingine zinakuja juu yenu

View attachment 3201956
Wewe bna wewe yesu katenda miujiza
 
Hakuna mtu aliyeshika dini akafurahia màafa kwa mwengine, muislam mwenye kuishika dini hawezi furahia maafa yaliyowakumba USA, wala mkristo mwenye kushika dini hawezi furahi kuona watoto/wanawake/wazee na wote wasio na hatia wakiangamizwa Palestine.
Wala muislam mwenye dini hawezi support kuona magaidi wanaua wasio na hatia kwa mgongo wa dini.

Tujifunze kupendana. Tutumie muda wetu kuzisoma na kuzielewa dini zetu kuliko kutafuta kasoro kwa wengine.

Kama unasona hgl pambana uisome na ufahulu, kutumia muda wako mwingi kuisoma na kuikosoa PCB hakutakufanya uifahulu hgl yako.

Mods, Moderator ingependeza threads za udini mzipeleke jukwaa la dini ili anayependa hazifuate huko. Maana kiukweli nyingi hazipo katika lengo la kuelimishana bali kukwazana.
 
Back
Top Bottom