Kwenu wanasheria: Naomba msaada tafadhali

Kwenu wanasheria: Naomba msaada tafadhali

abagabo

Senior Member
Joined
Jun 4, 2014
Posts
155
Reaction score
168
Mtu akituhumiwa kwa jinai inayohusu nyaraka, na ktk mahojiano na mchunguzi akasema hizo nyaraka alipewa na watu Fulani na akawataja kwa majina je ni sahihi kwa mchunguzi kutowakamata hao watu na kuwahoji na badala yake kug'ang'ania kumpeleka huyu peke yake?, na je akifikishwa huko kortini akazidi kusema kuwa wahusika mbona hawakamatwa, hakimu anaweza kuisikiliza hoja hiyo? Wahusika wapo na ni watumishi wa serikali.
 
Scenario yako mbona haijakamilika mkuu?, kama ni kwenye maisha halisia embu rudi nyuma kidogo kwenye hii stori yako.

Ila haraka haraka, mpelelzi anaweza potezea kuwahoji (japo si kawaida sana) kama ataona/kuhusi unababaisha. (Only in Tz)

Ila kama kwenye maelezo yako polisi ile umefikishwa/fika uliandika haya unayosema ya kuzitoa/kupewa hizo nyaraka na mtu wa tatu, lazma ataunganishwa mkuu ila hiyo haikufanyi kutoshtakiwa kumbuka kushitakiwa haimaanishi una kosa kweli.

USHAURI: kama una uwezo japo kiasi, tafuta wakili mkuu. Pia pole/fikisha pole zangu kwa mhusika.
 
Back
Top Bottom