Kwenu Wanasimba, Mashabiki wa mnyama

This is...

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2014
Posts
5,050
Reaction score
5,204
Hili I Ni bandiko kwa ajili ya kukusanya maoni , mawazo, mitazamo, ukosoaji, pongezi kutoka kwa wanasimba na wadau wa futiboli kwa ujumla.

Unakaribishwa kuweka maoni yako hapa ukijita katika vipengele vifuatavyo: Nini kifanyike,Ni Nini maoni yako,mapendekezo, changamoto unazoziona na Ni wapi Simba inafeli katika:
A. UONGOZI WA TIMU

B. BENCHI LA UFUNDI

C. TUNAFELI WAPI KTK USAJILI

D. ATHARI ZA MWEKEZAJI

E. MASUALA MTAMBUKA

Tiririka hapa.
 
Niakuelewa ukijibu haya maswali 3

1. Kwa kuanzisha hili bandiko unamwakilisha kiongozi gani wa Simba ?

2. Una uhakika gani kuwa kila atakayeshiriki hapa ni mwanasimba?

3. Una kadi namba ngapi ya Simba?

Nimekuuliza kwa sababu....
Nakuona wazi wewe ni mtu wa majungu tu na kilaza maana hujui kuwa sio member wa JF sio wote ni mwanasimba.

Nasubiri majibu.
Hili I Ni bandiko kwa ajili ya kukusanya maoni , mawazo, mitazamo, ukosoaji, pongezi kutoka kwa wanasimba na wadau wa futiboli kwa ujumla.
 
Simba ndiyo inamiliki hii nchi hivyo bac haiwezekani aibu kama ile ikavumiliwa nasemaje haiwezekani.
Benchi zima la ufundi lifukuzwe!
 
Bao tano [emoji2936][emoji2772] sio mchezo mtachapana sana bakaora mwaka huu
 
Tatizo la simba linaanzia kwenye uongozi.mbwembwe na tambo ni nyingi kuliko uhalisia.Viongozi hawako serious na timu ndo maana ata mipango yao haieleweki. sasa hivi kocha kaondoka ata kumrudisha mgunda hawawezi.Timu inatumika kama janja janja yawatu kunufaika ndo maana hatuoni mabadiliko ya maana zaidi ya porojo za panda shuka.Jinsi yanga inavyocheza serious uwanjani ndivyo na uongozi wao ukivyo serious,njoo kwa simba sasa shida tupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja sisi wanasimba wa upande wa Mzee Kilomoni, tukae pembeni kwanza ili tushuhudie mtifuano mkali kati ya vijana wa Rage dhidi ya wale vijana wa Mangungu.
Huishi kumtaja Rage fanya basi umzalie watoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…