Kwenu wasanii wa Tanzania: Uchaguzi ukiisha kila mmoja akale alipopeleka mboga

Kwenu wasanii wa Tanzania: Uchaguzi ukiisha kila mmoja akale alipopeleka mboga

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Kwenu wasanii wa Tanzania na Bongo Fleva. Sisi Watanzania wengine tusiopendezwa na mambo ya Chama cha Mapinduzi tumeona mwenendo wenu. Tumeona hakuna shida kwa mujibu wa katiba, mko sahihi.

Siasa zinapita. Sanaa yenu naamini mtapenda ibaki ikipendwa na sisi Watanzania wote.

Wazungu husema;

Scrach my back and I will scrach yours:

Msiige ya USA kina Jay Z; wenzetu wako mbali kidemokrasia sana. Hata aingie nani sanaa yake haitapigwa pini kama ataenda kinyume na INCUMBENT, yaani kiongozi alieko madarakani.

Tunawashukuru sana wanamuziki ambao mmeamua kuwa upande wa CCM, ni Uhuru wenu, ila uchaguzi ukiisha kila mtu akale alipopeleka mboga.

Asanteni.
 
Mwisho siku ukitekwa hewalaaaa

Ila nawakumbusha leo lia na waliao.
 
Kwanza mambo ya bongo fleva bongo movie ndy ya nafanya Watoto wetu wadumae akili.

Sahivi nguvu nyingi imekuwa invested huko. Kila Aina mtu, Watoto akili zao ziko kibongo fleva fleva.

Kuhusu wasanii Kuingia kwenye kupigia kampeni CCM mm naona ni njaa zao!

Kwanza huwa najiuliza Hawa wasanii Wana impact gani kwa jamii Wana rudisha nn pia kwa jamii, zaidi ya madharau tu.

Ova
 
Siku cyber crime ikikuhusu tutakuuliza " sisi tulipolia ulicheka vipi Leo ukilia na sisi tulie?
 
Pia mkumbuke mnapotutukana na kutukebehi kwenye majukwaa ya siasa uchaguzi ukiisha mnatuomba tuwasheee na kuwa subscribe kwa vocha zetu.
 
Mr
Kwanza mambo ya bongo fleva bongo movie ndy ya nafanya Watoto wetu wadumae akili
Sahv nguvu nyingi imekuwa invested huko
Kila Aina mtu, Watoto akili zao ziko kibongo fleva fleva.....
Kuhusu wasanii Kuingia kwenye kupigia kampeni ccm mm naona ni njaa zao!
Kwanza huwa najiuliza Hawa wasanii Wana impact gani kwa jamii Wana rudisha nn pia kwa jamii
Zaidi ya madharau tu

Ova
Mr mrangi hebu fikiria Domo na kiba wakienda singida nyumbani kwa lisu kufanya show wakipokelewa vibaya watalaumu ?
 
CDM mna matatizo sana. Sasa wasanii wamewakosea nini? Mnawalazimisha wapende kitu kisicho na mvuto tena katika jamii? Kama wabunge wenu tu wanawakimbia, itakuwa wasanii ambao hata kadi ya chama hawana!!!
 
U
CDM mna matatizo sana. Sasa wasanii wamewakosea nini? Mnawalazimisha wapende kitu kisicho na mvuto tena katika jamii? Kama wabunge wenu tu wanawakimbia, itakuwa wasanii ambao hata kadi ya chama hawana!!!
Ubarikiwe mkuu hata miaka ya kuishi kibiblia Ni 70 je CCM imebakiza mingapi?

Kidanganyeni kizazi hiki ambacho mmeamua kuki fool ila digital era haitawaacha salama.
 
Kuna watu wanatengeneza filamu ya kupigwa risasi tundu Lissu ambayo haitaegemea upande wowote si kwa lisu Wala waliompiga risasi 32/16 majibu utajaza mwenyewe halafu kesho jitu linakuomba uli subscribe Qummee wakati c milele....!!
 
Ung
CDM mna matatizo sana. Sasa wasanii wamewakosea nini? Mnawalazimisha wapende kitu kisicho na mvuto tena katika jamii? Kama wabunge wenu tu wanawakimbia, itakuwa wasanii ambao hata kadi ya chama hawana!!!
Ungeipenda Tanzania ungeiombea haki na utii wa katiba ambayo Ni sheria mama.
 
Tatizo njaa, ulitaka wale wapi?
Jizi likiiba kwako utaliunga mkono kwa vile limesema njaa akale wapi?
Sijaona wasanii wajinga kama wa nchi hii.
Wanunuzi wakubwa na support ya wasanii wa muziki na maigizo ya nchi hii wengi ndio hao wanao umizwa na mfumo huo wanao utetea kwa nguvu zote hao wasanii. Sasa ngoja watu wawapige chini
 
Back
Top Bottom