Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Kwenu wasanii wa Tanzania na Bongo Fleva. Sisi Watanzania wengine tusiopendezwa na mambo ya Chama cha Mapinduzi tumeona mwenendo wenu. Tumeona hakuna shida kwa mujibu wa katiba, mko sahihi.
Siasa zinapita. Sanaa yenu naamini mtapenda ibaki ikipendwa na sisi Watanzania wote.
Wazungu husema;
Scrach my back and I will scrach yours:
Msiige ya USA kina Jay Z; wenzetu wako mbali kidemokrasia sana. Hata aingie nani sanaa yake haitapigwa pini kama ataenda kinyume na INCUMBENT, yaani kiongozi alieko madarakani.
Tunawashukuru sana wanamuziki ambao mmeamua kuwa upande wa CCM, ni Uhuru wenu, ila uchaguzi ukiisha kila mtu akale alipopeleka mboga.
Asanteni.
Siasa zinapita. Sanaa yenu naamini mtapenda ibaki ikipendwa na sisi Watanzania wote.
Wazungu husema;
Scrach my back and I will scrach yours:
Msiige ya USA kina Jay Z; wenzetu wako mbali kidemokrasia sana. Hata aingie nani sanaa yake haitapigwa pini kama ataenda kinyume na INCUMBENT, yaani kiongozi alieko madarakani.
Tunawashukuru sana wanamuziki ambao mmeamua kuwa upande wa CCM, ni Uhuru wenu, ila uchaguzi ukiisha kila mtu akale alipopeleka mboga.
Asanteni.