MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
Naomba kupata elimu kutoka kwenu juu ya sheria ya kufuga wanyama pori. Napata shida kufahamu ni wanyama wa aina gani ambao wanahitaji kibali maalumu ili niwafuge. Watu wanafuga Kanga, samaki, n.k. Lakini hivi karibuni niliambiwa siwezi kufuga Kwale (quail) kwa sababu ni wanyama pori!
Hapa mjini Dar nimeshuhudia watu wakifuga nyani kwa maonyesho, tena ktk hotel kubwa sana kule ufukweni!
Sheria ikoje?
Hapa mjini Dar nimeshuhudia watu wakifuga nyani kwa maonyesho, tena ktk hotel kubwa sana kule ufukweni!
Sheria ikoje?