NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
NB: nazungumzia akili ya maisha na sio pesa, elimu ya darasani, cheo, kuoa, n.k. hivi vitu hata kijana mwenye 18 anaweza kuwa navyo lakini AKILI bado haijakamilika kupevuka.
Nimefatilia research mbali mbali nimeona wanasayansi wanao deal na mambo ya saikolojia wamekadiria kwamba wengi akili zao hupevuka baada ya kuishi hapa duniani miaka 30.
Je wewe kama mtu mzima ulievuka 30, unaona pana ukweli ?
Nimefatilia research mbali mbali nimeona wanasayansi wanao deal na mambo ya saikolojia wamekadiria kwamba wengi akili zao hupevuka baada ya kuishi hapa duniani miaka 30.
Je wewe kama mtu mzima ulievuka 30, unaona pana ukweli ?