round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Ajira ya mwisho haikuwa hivyo? Why? Application zaidi ya 80% zimetokea bara so aoutomatic wabara wengi ndio hupata nafasiWAOMBAJI - 135,027
Kwa makadirio kuna wazanzibari 3000, waliobaki wabara 132,027
NAFASI - 1,596
20 % kwa Wazanzibar - 319
80 % kwa Bara - 1,277
CHANCE YA KUPATA KAZI
Wazanzibari - 10 kwa kila waombaji 100 ( 319/3000)
Wabara - 1 kwa kila waombaji 100 (1277/132027*100)
Wako wengi sana hao watu. People with nothing but mkono wa Mungu. Uko right, muda wako ukifika milango hufungukaKama ni wakati wako umefika wakupata hyo kazi hata ikiwa 10/100,000 utapata hyo kazi amini hvyo kuna mtu alifanya interview mpaka za utendaji wa mtaa na alikosa lakini muda wake ulivyofika zilitoka nafasi 5 tena idara kubwa ambayo wengi wanasema hupati bila backup na kaomba nakapata hakuna anaemjua hana mjomba wala shangazi.