Kwenye daftari la Lodge au guest kila mtu ni mkulima

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Hakuna daftari linakuwa na taarifa za uongo kama lile la lodge au guest. Wahuni bhana huwa pia waongo waongo.

Mtu anaandika katoka Bunda kumbe katoka Bunju yupo Sinza lodge.
 
Hakuna daftari linakuwa na taarifa za uongo kama lile la lodge au guest. Wahuni bhana huwa pia waongo waongo.

Mtu anaandika katoka Bunda kumbe katoka Bunju yupo Sinza lodge.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaani watu karibia wote professional qualification zao ni WAKULIMA?
 
Unaanzaje kuandika taarifa za kweli kwenye daftari lile??
 
mi huwa naweka taaluma yangu ila wengi huwa naona ni wafanya biashara
 
Hakuna daftari linakuwa na taarifa za uongo kama lile la lodge au guest. Wahuni bhana huwa pia waongo waongo.

Mtu anaandika katoka Bunda kumbe katoka Bunju yupo Sinza lodge.
Wakulima wanazidi WAFANYABIASHARA?
 
Inategemeana nimeingiaje pale, kama nasafiri niko na mama watoto basi lazima nitaandika taarifa sahihi.
Au nimeenda kuonana na mama watoto yuko mbali na lodge ndo sehemu ya kulala basi nitaandika taarifa sahihi.

Kwenye yale mambo ya kijinga lazima tuandike uongo, hata nikienda na mtu kucheki HIV wakiuliza jina nadanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…