Kwenye daftari la Lodge au guest kila mtu ni mkulima

Wakulima wanazidi WAFANYABIASHARA?
Hahahaa siku isiyo na jina nipo Makambako guest house moja nafunua kurasa nikakutana orodha ndefu ya wakulima kwa hiyo ni wengi
 
Yale madaftari huwa siwezi kuweka taarifa zangu hata iweje.

Natumia jina fulani hivi la Kimasai kwenye maeneo kama hayo.
Mi Naandikaga

Naitwa jina langu

Jina ndo Jina


Langu ndo ubini

Napotoka , panaitwa sitokagi !!

Ovah !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…