Kwenye fumanizi, pambana/ pigana na mwenza wako. Achana na aliyezawadiwa penzi

Kwenye fumanizi, pambana/ pigana na mwenza wako. Achana na aliyezawadiwa penzi

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Ni uzwazwa kupambana/kupigana na aliyezawadiwa penzi wakati wa fumanizi.

Kwasabb mumeo/mkeo kafanya maamuzi mwenyewe pasipo kushurutishwa na huku akijua ana mke/mume.

Mkeo au mumeo hajabakwa, sasa inakuwaje unaacha kumpiga yeye unampiga mtu aliyekusaidia kumstarehesha?
 
_20240301_002019.JPG
 
Ni uzwazwa kupambana/kupigana na aliyezawadiwa penzi wakati wa fumanizi.

Kwasabb mumeo/mkeo kafanya maamuzi mwenyewe pasipo kushurutishwa na huku akijua ana mke/mume.

Mkeo au mumeo hajabakwa, sasa inakuwaje unaacha kumpiga yeye unampiga mtu aliyekusaidia kumstarehesha?
Huwezi haribu/dhuru unachokipenda.

Asiyekupenda hana haja/muda wa kufumania.
 
Kwenda kufumania ni jambo la ovyo sana, matokeo yake sio chanya kwa pande zote.
 
Back
Top Bottom