Fidia kwa mwenza wako.nafidia maumivu ya mahari yangu
Wakati mwingine inakuwa ngumu kukata mti. Unaukataje mti wakati mumeo ndiyo kashikilia maisha yako kwa kipato?? Bora uzozane ama upigane naye kisha maisha yaendeleeTabu yote yanini.... wekata mti, panda mti
Huwezi haribu/dhuru unachokipenda.Ni uzwazwa kupambana/kupigana na aliyezawadiwa penzi wakati wa fumanizi.
Kwasabb mumeo/mkeo kafanya maamuzi mwenyewe pasipo kushurutishwa na huku akijua ana mke/mume.
Mkeo au mumeo hajabakwa, sasa inakuwaje unaacha kumpiga yeye unampiga mtu aliyekusaidia kumstarehesha?