Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unatumia android ingia playstore zipo nyingi sana ila wanatoa kuanzia 5000 ukilipa unaongezewa kiwango cha kukopa.Nimejaribu app mbili kote sijapata hata elf 5. Nina uhakika wa kulipa kesho kutwa tu kwahiyo hawatanisumbua(maana mtasema hilo)
mi nakopeshaNimejaribu app mbili kote sijapata hata elf 5. Nina uhakika wa kulipa kesho kutwa tu kwahiyo hawatanisumbua(maana mtasema hilo)
Naomba utararibu ndugumi nakopesha
UNATAKA KUZALILISHWANimejaribu app mbili kote sijapata hata elf 5. Nina uhakika wa kulipa kesho kutwa tu kwahiyo hawatanisumbua(maana mtasema hilo)
Kwanini,si nitalipa kwa wakatiUsikope huko utaaibika
Unapatikana wapi?mi nakopesha
Ndio wapi?Nenda PesaMfinance kachukue pesa za bure
Nakushauri subiri hiyo tu hiyo KeshoNimejaribu app mbili kote sijapata hata elf 5. Nina uhakika wa kulipa kesho kutwa tu kwahiyo hawatanisumbua(maana mtasema hilo)
Kabisa, hela zipo kibao...unajizma data