Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Kwenye hospitali ya vichaa, mwandishi wa habari akamwuliza daktari:
"Wewe huwa unatambuaje mgonjwa huyu ni wa kulazwa, na huyu si wa kulazwa "?
Daktari akajibu:
"Kuna njia nyingi ... kwa mfano naweza kujaza maji kwenye sinki la bafuni, nikamwekea hapo kijiko cha mezani, kikombe na ndoo;
Kisha nikamwagiza amwage maji yote yaliyo kwenye sinki.
Mwandishi: "Bila shaka aliye timamu atatumia ndoo .. . Maana ndoo ndiyo kubwa! Si ndivyo? "
Daktari: "Hapana! Mtu mwenye akili timamu atafungulia koki ya chini ya sinki!
Tafadhali na wewe nenda kalale kitanda Namba-39 .. . Nitakuja kuendelea kukuchunguza zaidi! "
[emoji3][emoji3] Hah ha haaa!
Hivi kweli na wewe pia uliwaza ndoo?Basi, kitanda chako ni Namba-40 !! [emoji13]
"Wewe huwa unatambuaje mgonjwa huyu ni wa kulazwa, na huyu si wa kulazwa "?
Daktari akajibu:
"Kuna njia nyingi ... kwa mfano naweza kujaza maji kwenye sinki la bafuni, nikamwekea hapo kijiko cha mezani, kikombe na ndoo;
Kisha nikamwagiza amwage maji yote yaliyo kwenye sinki.
Mwandishi: "Bila shaka aliye timamu atatumia ndoo .. . Maana ndoo ndiyo kubwa! Si ndivyo? "
Daktari: "Hapana! Mtu mwenye akili timamu atafungulia koki ya chini ya sinki!
Tafadhali na wewe nenda kalale kitanda Namba-39 .. . Nitakuja kuendelea kukuchunguza zaidi! "
[emoji3][emoji3] Hah ha haaa!
Hivi kweli na wewe pia uliwaza ndoo?Basi, kitanda chako ni Namba-40 !! [emoji13]