kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,818
Je ni kwamba hakuna wenye kiwango hicho, au ligi tu mbovu??
Maana duhh mle wamejaa Barcelona tu kama tisa hivi,, epl inatakiwa ijipange kwa kweli... ndo tufunge mdomo sasa, mara sijui hazard, mara aguero, wengine kane, huku wengine sanchez, mara pogba, wengine wakasema countinho.... wote hakuna kitu!!!
Mwaka huu epl tumeumbuka asee.. duuuhhhhh
Maana duhh mle wamejaa Barcelona tu kama tisa hivi,, epl inatakiwa ijipange kwa kweli... ndo tufunge mdomo sasa, mara sijui hazard, mara aguero, wengine kane, huku wengine sanchez, mara pogba, wengine wakasema countinho.... wote hakuna kitu!!!
Mwaka huu epl tumeumbuka asee.. duuuhhhhh