Kiweke kikosi hapa
Nimekosea asee... niltaka kusema la liga duuh
Mara mwisho EPL kubeba hilo taji no link?Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...
Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...
Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..
1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool
Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...
Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?
Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
Kevin De Bruyne utamlinganishaje na Iniesta?Iniesta kwa kiwango gani alichoonesha msimu uliopita?
Iniesta kwa kiwango gani alichoonesha msimu uliopita?
wanachoonesha hapo ni LA liga kuwa bora kuliko EPL..waache wahangaike ila ukweli wanao moyoniHapo umetumika Unazi tu! Manake si Yeye, Barcelona wala Spain iliyofanya Cha maana Msimu Uliopita.. Ila Kaingizwa Kwa Sababu ni Barcelona tu isijeonekana ipo nyuma sana dhidi ya Real...
Kwa Hapo Kevin De Bruyne Kwa Midfield Yupo Juu Kuliko Wote hao (Iniesta & Kroos)..