Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
HAPO ATAKAE TAMBA NI MAN CITY TU WENGINE WASINDIKIZAJI___END OF THE DAY CITY NAYE ATANYUKWA NA KUTOLEWA OUT KABISA.
SO UBINGWA UTABAKIA SPAIN.
KWENYE GROUP ANAYE-ONGOZA NI MADRID BWANA NA SIO SPURS___
wewe unaesema kwamba EPL ni the best league nani kakudanganya angalia hata takwimu zinakuonesha kwamba CL imekaa Spain miaka 3 mfululizo bisha uchekwe
acha ubishi real anaongoza kundi..sasa sijajua vigezo vyako n vipi.maana m nijuavyo uwa wanaangalia goal dfrn...kama wako sawa wanakuja alfabet sasa ndo maana real anaongoza...sasa usibishe kwa ilo..na baadh ya lig kama spain walilingana point wanaangalia walivyokutana nani alifungwa mara nying kwa msimuMunachozungumzia Nyinyi Ni Alphabetical Order Kwamba R ipo mwanzo Kuliko T..
EPL NI LIGI MBOVU ILA KUJINADI KWINGI.
Huo ni ukichaa sasa De bruyne anakiwango gani cha kumfikia Kroos au Iniesta.....KDB bado hata robo ajafika
Africa hata angekuepo aliye kua kwenye kiwango bora basi unadhani wange muweka! Anhaa
Hahahahahaha basi msilalamike players wa EPL kuendelea kukosekana kwenye Tuzo muhimu kama hizo
Wote hao tusubiri nusu fainali kama utawaona hata mmoja!Huyo spurs anaongoza kundi but usijeshangaa ndoo inaenda Bernabeu.Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...
Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...
Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..
1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool
Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...
Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?
Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
hizi ni stats za iniesta mwaka janaHuo ni ukichaa sasa De bruyne anakiwango gani cha kumfikia Kroos au Iniesta.....KDB bado hata robo ajafika
EPL hata ifanye vizuri vipi tumezoea hicho kikosi ni nadra kuwakuta.Hahahahahaha basi msilalamike players wa EPL kuendelea kukosekana kwenye Tuzo muhimu kama hizo
Kawaulize macaptain na makocha wazoefu kwanini wameamua kumchagua Iniesta na wala sio hao wengine.hizi ni stats za iniesta mwaka jana
-la liga ameanza mechi 13 tu sababu ya majeruhi (hapa peke yake hafai kuwemo kwenye tuzo.)
-magoli 0
-assist 3
hapa ndio tulipofikia mchezaji msimu mzima ana kigoli kimoja na vi assist vitano, amemiss karibia msimu mzima lakini anakuwepo kikosi cha dunia. hebu nishawishi mkuu amefanya nini iniesta? ligi kakosa, uefa kakosa, zaidi ya nusu msimu alikuwa majeruhi, site zote kubwa duniani zinazofanya analysis zinamrate kidogo sana iniesta, even team mates wenzake kama rakitic wamefanya zaidi vizuri.
fifpro haichaguliwi kama baloon d or au fifa player of the year, jielimisheKawaulize macaptain na makocha wazoefu kwanini wameamua kumchagua Iniesta na wala sio hao wengine.
...vipaji muhimu sio force king na promo saaana..Je ni kwamba hakuna wenye kiwango hicho, au ligi tu mbovu??
Maana duhh mle wamejaa Barcelona tu kama tisa hivi,, epl inatakiwa ijipange kwa kweli... ndo tufunge mdomo sasa, mara sijui hazard, mara aguero, wengine kane, huku wengine sanchez, mara pogba, wengine wakasema countinho.... wote hakuna kitu!!!
Mwaka huu epl tumeumbuka asee.. duuuhhhhh
Kwanza Unabatisha! Wa Barcelona ni Wawili tu! Messi na Iniesta...
Halafu Soka la Uengereza lazima Uliheshimu na Litaendelea Kutoa Ligi Bora Duniani...
Kamata hii! Champion League Uengereza ina Timu 5..
1) Man City
2) Man United
2) Chelsea
4) Spurs
5) Liveepool
Hizi Zote Mpaka Sasa Zinaoongoza Makundi Yao Na Zitamaliza Zikiwa Zinaongoza Makundi...
Hata Huyo Real Aliyetoa Wachezaji 5 anaongozwa na Spurs Katika Kundi Lake...
Halafu Wewe Unaweweseka na Kusema Ligi Mbovu?
Kwanza Ufahamu Kuwa Uengereza Tokea Asili Ligi Yake Haina Sifa Ya Kutoa Wachezaji Bora Duniani! Lakini inazosifa za Kuwa Ligi Bora Duniani...
Na Ndiyomana Timu Zake Hata Zikibeba CL basi Hazitoi Wachezaji Wa Kikosi Bora Duniani...
Only Ronaldo wa Man U did that...
Mkuu umeongea kwa ukakasi sana, vip we ndio chairman wa fa nini..
Kuingiza timu 5 na kuongoza makundi bado si sababu..
Chukua misimu kadhaa nyuma timu za epl zimekuwa zinafanya nin bora zaid kuliko hizo nyingine..
Ntajie wachezaji kadhaa wanaodeserve kuwa humo halaf nitolee kadhaa..
Epl ni inaonekana ni ligi bora au ligi yenue utamu kama ninavyopenda kuiita sababu timu zina uwezo unaofanana ama kukaribiana, ubora wa timu kadhaa umeshuka..liver hatofautian na tott wala arsenal wala everton wala man u..
Ni ligi isiyotabirika..
Usishangae anaeongoza ligi akaenda kudrop point kwa timu ya mkiani..
Ila viwango vyao katika uefa ni vya kuchechemea zaid.
Giroud anacheza wapi?!..by the way hakuna anaethamini hizo tuzo kwa kuwa zimepoteza uhalisiaHahahahahaha basi msilalamike players wa EPL kuendelea kukosekana kwenye Tuzo muhimu kama hizo
sio sura ya mauzo..ucheze LA ligaEPL hata ifanye vizuri vipi tumezoea hicho kikosi ni nadra kuwakuta.
hapa chelsea walitwaa uefa mwaka 2012, cech yupo form, wanapaki bonge la basi, beki imetulia, midfield imetulia. fainali walifika wao na bayern.
cha kushangaza kikosi kinatoka la liga tupu hakuna chelsea wala bayern.
kama huna sura ya mauzo huingii kwenye hicho kikosi hata upige mpira vipi hilo linajulikana.
EPL ni ligi pendwa sio ligi Bora hahahaaha si unaona hawapo hapo...angalia wachezaji wa Real Madrid wako watano, Barcelona wawili, Juventus watatu na PSG mmoja... Unaweza ukaona tofauti ya ligi bora na ligi pendwa
kweli kabisa...huku kujisahau noma..asante kwa kunikumbushaMKUU JUVE WAPO WAWILI, PSG WAWILI. ALVES NI WA PSG KWA SASA