Kwenye Life "Kabla ya kutoboa Lazima Ugongwe Sana"

Kwenye Life "Kabla ya kutoboa Lazima Ugongwe Sana"

MIUNDOMBINU

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2010
Posts
465
Reaction score
96
Hebu fikiria khs msumari , Msumari hugongwa sna kabla ya kutoboa na kuzama ndani ya kitu, ndio Jinsi maisha ya Kijasiriamali jinsi yalivyokuwa.

So kbla ya kutoboa jiandae kugongwa sana !. Ila Kuwa imara tu km Msumari hatimae utatoboa!.

B1F20416-395A-4C7D-BB43-FD0290284375-8311-00000C5C4E5D3846.jpg
 
Hebu fikiria khs msumari , Msumari hugongwa sna kabla ya kutoboa na kuzama ndani ya kitu, ndio Jinsi maisha ya Kijasiriamali jinsi yalivyokuwa.

So kbla ya kutoboa jiandae kugongwa sana !. Ila Kuwa imara tu km Msumari hatimae utatoboa!.

View attachment 580459
duh, sio mchezo, ni fasihi ktk ubora wake
 
Back
Top Bottom