Kwenye Life "Kabla ya kutoboa Lazima Ugongwe Sana"

MIUNDOMBINU

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2010
Posts
465
Reaction score
96
Hebu fikiria khs msumari , Msumari hugongwa sna kabla ya kutoboa na kuzama ndani ya kitu, ndio Jinsi maisha ya Kijasiriamali jinsi yalivyokuwa.

So kbla ya kutoboa jiandae kugongwa sana !. Ila Kuwa imara tu km Msumari hatimae utatoboa!.

 
duh, sio mchezo, ni fasihi ktk ubora wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…