BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Yatima wengi hawana msaada kutokana na ubinafsi wa wengi kudhamini watoto wao wa kuwazaa pekee kama unaweza kufunga basi fanya hivyo kwa ajili yao ili mungu awafanyie njia.
Walio kata tamaa na maisha hili kundi ni kubwa sana na issue inayosumbua hili kundi ni pesa waweke kwenye maombi yako wapate pesa kwani wakibaki kuwa hopeless kama walivyo mitaa haitakuwa mahali salama.
Walio kata tamaa na maisha hili kundi ni kubwa sana na issue inayosumbua hili kundi ni pesa waweke kwenye maombi yako wapate pesa kwani wakibaki kuwa hopeless kama walivyo mitaa haitakuwa mahali salama.