Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Ni mavazi gani hasa umewahi kosea kuyavaa inavyostahili, sio kwa makusudi, ila labda kwasababu ya haraka, kujisahau au giza wakati wa kuvaa, na matokeo yake wakati wa kuvua ndio unagundua ulivaa kinyume na inavyoakiwa...
Au baada ya kufika eneo husika ndio ukastuliwa na ndugu, jamaa au marafiki ulokua nao location, ndio wanakwambia mbona umegeuza vazi lako ndio fashion siku hizi au umekosea? Ndio nawe sasa unagundua umevaa ndivyo sivyo 🐒
Au baada ya kufika eneo husika ndio ukastuliwa na ndugu, jamaa au marafiki ulokua nao location, ndio wanakwambia mbona umegeuza vazi lako ndio fashion siku hizi au umekosea? Ndio nawe sasa unagundua umevaa ndivyo sivyo 🐒