Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leta ushahidi kuwa ni matapeli?Hawa dp world ni matapeli wataiangamiza Tanganyika
Bahati mbaya mafisadi yamehongwa na waarabu kuwatetea
Watanganyika amkeni
Watu mapungufu kibao ulikuwa wapi?Nilipitia mkataba wa Bandari vizuri, pamoja na changamoto kidogo nilizoona kutokana na uelewa wangu,
forcus yangu ilikuwa zaidi kwenye kupata faida na kukuza uchumi ambapo niliona umezingatia hivyo hayo mengine yote kwa sisi wa private sector sio kipaumbele cha kwanza;
1. Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa sijasikia mwananchi, mwanasiasa au hata Kiongozi wa dini anayepinga akitumia hoja muhimu kama ya kiuchumi kitu ambacho kinaonesha kuwa kunaweza kuwa na kitu kingine nje ya huu mkataba labda kwa mashahi yao binafsi
2. Nilisikia, mama mmoja niliyemuheshimu hasa kwa Kisomo chake akisema, mkataba wa DP world ulikataliwa kuendesha bandari huko marekani (New Jersey) ambapo ni kweli ila pamoja na Elimu yake kubwa hakusema kwa nini walikatatiliwa; Labda tu kwa kumsaidia; Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari lakini walitoa sababu kuwa, Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama (na sio kwa sababu ya uwezo wa Kuendesha bandari). Wote tunajua chuki binafsi iliyopo kati ya Wamarekani na waarabu - siwezi kuingilia hilo)
3. Kuna mfano hapa; Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20 tena kwa kuunga unga/kushikwa mkono hata pale mkataba ulivyotaka kuvunjwa, Cha ajabu haijawahi kuwa tatizo hata kama faida ilikuwa haionekani.
Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu, Siwezi kuongelea kama ufanisi wake upo kiasi gani kwani sio mahala pake hapa.
Mbona hizi kelele hatukuzisikia TICTS & Swisport na wengine walipopewa mikataba?
4. Najua wengi mnaobisha mnajua kusoma; mnaweza kusearch DP world mkaijua vizuri kuwa ile ni Kampuni iliyopo mji wa Dubai na sio Nchi; hata hivyo hakuna Nchi inaitwa Dubai Duniani, ule ni mji tu kama mtu aseme Mwanza, Dodoma nk . Lakini pia, kutokana na ufanisi wake katika kuendesha bandari sasa hivi inafanya kazi za badari kwa Zaidi ya Nchi 40 Duniani zikiwemo Ulaya na Australia na Africa.
5. Nauliza tena; Kusudi kubwa la Uwekezaji ni kukuza Uchumi (namanisha kuongeza kipato/Faida, Ajira nk). Mbona hilo ndio muhimu kuliko yote lakini hamuliongelei wakati wa kupinga ili tujue kuwa tutapata faida au hasara au tutabakia hahapa tulipo?
Una taaluma ya SHERIA?Nilipitia mkataba wa Bandari vizuri, pamoja na changamoto kidogo nilizoona kutokana na uelewa wangu,
forcus yangu ilikuwa zaidi kwenye kupata faida na kukuza uchumi ambapo niliona umezingatia hivyo hayo mengine yote kwa sisi wa private sector sio kipaumbele cha kwanza;
1. Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa sijasikia mwananchi, mwanasiasa au hata Kiongozi wa dini anayepinga akitumia hoja muhimu kama ya kiuchumi kitu ambacho kinaonesha kuwa kunaweza kuwa na kitu kingine nje ya huu mkataba labda kwa maslahi yao binafsi (haingii akilini kabisa)
2. Nilisikia, mama mmoja niliyemuheshimu hasa kwa Kisomo chake akisema, mkataba wa DP world ulikataliwa kuendesha bandari huko marekani (New Jersey) ambapo ni kweli ila pamoja na Elimu yake kubwa hakusema kwa nini walikatatiliwa; Labda tu kwa kumsaidia; Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari lakini walitoa sababu kuwa, Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama (na sio kwa sababu ya uwezo wa Kuendesha bandari). Wote tunajua chuki binafsi iliyopo kati ya Wamarekani na waarabu - siwezi kuingilia hilo)
3. Kuna mfano hapa; Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20 tena kwa kuunga unga/kushikwa mkono na hata pale mkataba ulivyotaka kuvunjwa, Cha ajabu haijawahi kuwa tatizo hata kama faida ilikuwa haionekani.
Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu, Siwezi kuongelea kama ufanisi wake upo kiasi gani kwani sio mahala pake hapa.
Mbona hizi kelele hatukuzisikia TICTS & Swisport na wengine walipopewa mikataba?
4. Najua wengi mnaobisha mnajua kusoma; mnaweza kusearch DP world mkaijua vizuri kuwa ile ni Kampuni iliyopo mji wa Dubai na sio Nchi; hata hivyo hakuna Nchi inaitwa Dubai Duniani, ule ni mji tu kama mtu aseme Mwanza, Dodoma nk . Lakini pia, kutokana na ufanisi wake katika kuendesha bandari sasa hivi inafanya kazi za badari kwa Zaidi ya Nchi 40 Duniani zikiwemo Ulaya na Australia na Africa.
5. Nauliza tena; Kusudi kubwa la Uwekezaji ni kukuza Uchumi (namanisha kuongeza kipato/Faida, Ajira nk). Mbona hilo ndio muhimu kuliko yote lakini hamuliongelei wakati wa kupinga ili tujue kuwa tutapata faida au hasara au tutabakia hahapa tulipo?
Hujawaelewa wananchi wanataka nini?faida tunaitaka lakini kama mambo yamekaa vibaya kwenye mkataba kama ukomo,uvunjaji haupo hatuwezi kusema tuangalie ufanisi Tu no way Taifa zinapaswa kufaidika na vitu vingiwe viwe na ukomoNilipitia mkataba wa Bandari vizuri, pamoja na changamoto kidogo nilizoona kutokana na uelewa wangu,
forcus yangu ilikuwa zaidi kwenye kupata faida na kukuza uchumi ambapo niliona umezingatia hivyo hayo mengine yote kwa sisi wa private sector sio kipaumbele cha kwanza;
1. Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa sijasikia mwananchi, mwanasiasa au hata Kiongozi wa dini anayepinga akitumia hoja muhimu kama ya kiuchumi kitu ambacho kinaonesha kuwa kunaweza kuwa na kitu kingine nje ya huu mkataba labda kwa maslahi yao binafsi (haingii akilini kabisa)
2. Nilisikia, mama mmoja niliyemuheshimu hasa kwa Kisomo chake akisema, mkataba wa DP world ulikataliwa kuendesha bandari huko marekani (New Jersey) ambapo ni kweli ila pamoja na Elimu yake kubwa hakusema kwa nini walikatatiliwa; Labda tu kwa kumsaidia; Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari lakini walitoa sababu kuwa, Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama (na sio kwa sababu ya uwezo wa Kuendesha bandari). Wote tunajua chuki binafsi iliyopo kati ya Wamarekani na waarabu - siwezi kuingilia hilo)
3. Kuna mfano hapa; Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20 tena kwa kuunga unga/kushikwa mkono na hata pale mkataba ulivyotaka kuvunjwa, Cha ajabu haijawahi kuwa tatizo hata kama faida ilikuwa haionekani.
Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu, Siwezi kuongelea kama ufanisi wake upo kiasi gani kwani sio mahala pake hapa.
Mbona hizi kelele hatukuzisikia TICTS & Swisport na wengine walipopewa mikataba?
4. Najua wengi mnaobisha mnajua kusoma; mnaweza kusearch DP world mkaijua vizuri kuwa ile ni Kampuni iliyopo mji wa Dubai na sio Nchi; hata hivyo hakuna Nchi inaitwa Dubai Duniani, ule ni mji tu kama mtu aseme Mwanza, Dodoma nk . Lakini pia, kutokana na ufanisi wake katika kuendesha bandari sasa hivi inafanya kazi za badari kwa Zaidi ya Nchi 40 Duniani zikiwemo Ulaya na Australia na Africa.
5. Nauliza tena; Kusudi kubwa la Uwekezaji ni kukuza Uchumi (namanisha kuongeza kipato/Faida, Ajira nk). Mbona hilo ndio muhimu kuliko yote lakini hamuliongelei wakati wa kupinga ili tujue kuwa tutapata faida au hasara au tutabakia hahapa tulipo?
Kama focus unaandika forcus, utaona mapungufu? Macho huona kile ambacho ubongo hutambua.Nilipitia mkataba wa Bandari vizuri, pamoja na changamoto kidogo nilizoona kutokana na uelewa wangu,
forcus yangu ilikuwa zaidi kwenye kupata faida na kukuza uchumi ambapo niliona umezingatia hivyo hayo mengine yote kwa sisi wa private sector sio kipaumbele cha kwanza;
1. Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa sijasikia mwananchi, mwanasiasa au hata Kiongozi wa dini anayepinga akitumia hoja muhimu kama ya kiuchumi kitu ambacho kinaonesha kuwa kunaweza kuwa na kitu kingine nje ya huu mkataba labda kwa maslahi yao binafsi (haingii akilini kabisa)
2. Nilisikia, mama mmoja niliyemuheshimu hasa kwa Kisomo chake akisema, mkataba wa DP world ulikataliwa kuendesha bandari huko marekani (New Jersey) ambapo ni kweli ila pamoja na Elimu yake kubwa hakusema kwa nini walikatatiliwa; Labda tu kwa kumsaidia; Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari lakini walitoa sababu kuwa, Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama (na sio kwa sababu ya uwezo wa Kuendesha bandari). Wote tunajua chuki binafsi iliyopo kati ya Wamarekani na waarabu - siwezi kuingilia hilo)
3. Kuna mfano hapa; Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20 tena kwa kuunga unga/kushikwa mkono na hata pale mkataba ulivyotaka kuvunjwa, Cha ajabu haijawahi kuwa tatizo hata kama faida ilikuwa haionekani.
Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu, Siwezi kuongelea kama ufanisi wake upo kiasi gani kwani sio mahala pake hapa.
Mbona hizi kelele hatukuzisikia TICTS & Swisport na wengine walipopewa mikataba?
4. Najua wengi mnaobisha mnajua kusoma; mnaweza kusearch DP world mkaijua vizuri kuwa ile ni Kampuni iliyopo mji wa Dubai na sio Nchi; hata hivyo hakuna Nchi inaitwa Dubai Duniani, ule ni mji tu kama mtu aseme Mwanza, Dodoma nk . Lakini pia, kutokana na ufanisi wake katika kuendesha bandari sasa hivi inafanya kazi za badari kwa Zaidi ya Nchi 40 Duniani zikiwemo Ulaya na Australia na Africa.
5. Nauliza tena; Kusudi kubwa la Uwekezaji ni kukuza Uchumi (namanisha kuongeza kipato/Faida, Ajira nk). Mbona hilo ndio muhimu kuliko yote lakini hamuliongelei wakati wa kupinga ili tujue kuwa tutapata faida au hasara au tutabakia hahapa tulipo?
Huyu punguani hawezi kukujibu hapaHoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Nilipitia mkataba wa Bandari vizuri, pamoja na changamoto kidogo nilizoona kutokana na uelewa wangu,
forcus yangu ilikuwa zaidi kwenye kupata faida na kukuza uchumi ambapo niliona umezingatia hivyo hayo mengine yote kwa sisi wa private sector sio kipaumbele cha kwanza;
1. Jambo la kushangaza ni kuwa mpaka sasa sijasikia mwananchi, mwanasiasa au hata Kiongozi wa dini anayepinga akitumia hoja muhimu kama ya kiuchumi kitu ambacho kinaonesha kuwa kunaweza kuwa na kitu kingine nje ya huu mkataba labda kwa maslahi yao binafsi (haingii akilini kabisa)
2. Nilisikia, mama mmoja niliyemuheshimu hasa kwa Kisomo chake akisema, mkataba wa DP world ulikataliwa kuendesha bandari huko marekani (New Jersey) ambapo ni kweli ila pamoja na Elimu yake kubwa hakusema kwa nini walikatatiliwa; Labda tu kwa kumsaidia; Bunge la Marekani lilikataa DP World wasipewe Bandari lakini walitoa sababu kuwa, Marekani haiwezi kuwapa Waarabu kuendesha Bandari zao kwa sababu za kiusalama (na sio kwa sababu ya uwezo wa Kuendesha bandari). Wote tunajua chuki binafsi iliyopo kati ya Wamarekani na waarabu - siwezi kuingilia hilo)
3. Kuna mfano hapa; Kampuni ya TICTS imeendesha Bandari ya Dar es Salaam kwa zaidi ya miaka 20 tena kwa kuunga unga/kushikwa mkono na hata pale mkataba ulivyotaka kuvunjwa, Cha ajabu haijawahi kuwa tatizo hata kama faida ilikuwa haionekani.
Kampuni ya “Swissport” inaendesha Kiwanja cha Ndege cha Dar es Salaam kwa muda mrefu, Siwezi kuongelea kama ufanisi wake upo kiasi gani kwani sio mahala pake hapa.
Mbona hizi kelele hatukuzisikia TICTS & Swisport na wengine walipopewa mikataba?
4. Najua wengi mnaobisha mnajua kusoma; mnaweza kusearch DP world mkaijua vizuri kuwa ile ni Kampuni iliyopo mji wa Dubai na sio Nchi; hata hivyo hakuna Nchi inaitwa Dubai Duniani, ule ni mji tu kama mtu aseme Mwanza, Dodoma nk . Lakini pia, kutokana na ufanisi wake katika kuendesha bandari sasa hivi inafanya kazi za badari kwa Zaidi ya Nchi 40 Duniani zikiwemo Ulaya na Australia na Africa.
5. Nauliza tena; Kusudi kubwa la Uwekezaji ni kukuza Uchumi (namanisha kuongeza kipato/Faida, Ajira nk). Mbona hilo ndio muhimu kuliko yote lakini hamuliongelei wakati wa kupinga ili tujue kuwa tutapata faida au hasara au tutabakia hahapa tulipo?
DPW atapata bei gani?Kwenye mkataba masilahi ya DP world yako wazi lakini masilahi ya Tanzania yamefichwa( hayajaandikwa).
Leteni wa kwenu jmnMikataba ya TICTS na SWISSPORTS haivunjiki? Haina ukomo? Tukitaka kuendeleza tunawaomba wao? Mikataba hiyo wajibu ni wa serikali ila haki za wawekezaji?
Hizo nchi 40 nao waliingia mikataba yenye vipengele kama hivi?
Watu hawamkatai mwekezaji, wanakataa masharti magumu
Pumbavu