Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Hizo sio heleni dingoo,izo ni pillet,Jina lake halisi anaitwa Willium mwenyeji wa Kilimanjaro na Mbeya
Pillow=pillet?Ninavyo fahamu mimi Pillet ni neno la Kiingereza lenye maana ya Mto...
good reply mjasiriamali mwenzangu, wewe ni mjasiriamali by natureMkuu ndo madhara ya kukaa sana vijijini ,hayo no maisha binafsi hata wewe Kuna tabia unazo wengine hatuzitaki,hivyo mjini tunaheshimiana Kama hupendi kiduku usinyoe ww mkeo na wanao,wengine ongea nao kibiashara ,mjini kutafuta hela tu,Kama we shoga na unahela ya kununua bidhaa zangu maisha yako hayanihusu anaenihusu ni wanangu tu
ndio waislamu wa kisasa tulivyo, wenzetu wkristo wanakutenga kanisani moaka utubu.Imenisikitisha sana, kijana anajiita Bill Nas (Bill Nenga) Sijui hata jina lake halisi.
Bila haya wala hiyana Katinga Kanzu na Hereni juu..
Nimeshindwa kumuelewa..!!View attachment 1089842
Mkuu acha kuwaombea watu mabaya, hii roho ya kichawi sijui umeirithi kwa nani? Mbona una chuki kupitiliza?Wakishaanza kula unga watauza hizo heleni hadi makalio yao so wape muda tu
wanaumwe wa mikoani wana wivu sana, saa hizi wapo kwenye palizi ya ufuta huko wanachonga sanaMkuu acha kuwaombea watu mabaya, hii roho ya kichawi sijui umeirithi kwa nani? Mbona una chuki kupitiliza?