Kwenye Mzozo wa Ukraine naiona WWIII

Kwenye Mzozo wa Ukraine naiona WWIII

Truth Matters

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
2,302
Reaction score
4,603
Habari wana jukwaa!

Nimefuatilia kwa karibu mzozo wa Ukraine, Kauli na Vitendo vya Rais wa Ukraine Zelesnky, Kauli na Vitendo Vya US, UK na NATO na NATO kwa ujumla. Nimejiridhisha pasina shaka kulikuwa na maandalizi ya muda mrefu kumaliza kazi ya kutengeneza "unipole" world.

Inaoekana baada ya kusambaratika kwa USSR mwanzoni mwa miaka ya 90, US na West hawakuridhika na hilo, lengo kuu ni kuiona Russia iliyomeguka kwenye vipannde vidogo vidogo visivyo na nguvu na vyenye kunyenyekea West. Hapa utapata sababu pekee kwa nini NATO iliendelea kubkishwa na kupanualiwa wakati adui yake mkuu "Amefariki'?

Inaonekana pia Zelensky ametengenezwa kimkakati kwa ajili moja tu kuu, kuanzisha WWIII ndio maana tangu mwanzo mpaka sasa bado anawaita NATO waje kuingilia mzozo wake. Kuna siku kama WWIII isipokuwepo na Zelensky kuondoka madarakani, atakuja kuusema ukweli huu. Ushahidi ni kuwa Zelensky lich ya kupigwa hataki mazungumzo na wala hajali hasara na maisha ya wa Ukraine. Ili maradi ameshachukua chake mapema!

Kitendo Cha UK kusaini mikataba ya kuilinda Finland na Sweden ni kuharakisha WWIII au kupata front nyingine ya kuanzishia WWIII

Inaonekana Russia walilijua hili tangu mwisho wa mwaka jana wakaona wafanye "pre-emptive" strike. Kimsingi Russia aliwawahi West kabla y muda uliopangwa. Hii ilipaswa kuanza na shambulizi kubwa la Ukraine dhidi ya Waasi wa DONBASS!

Sina hakika kama Russia itaweza kuhimili mipango hii, lakini njia pekee ya kuepusha full WWIII ni Russia ashindwe na asambaratike tena vipande vidogo vidogo au itawaliwe!

Haya ni mawazo yangu tu!
 
Hakuna cha WW3,Vita ya siku hizi ni tofauti na ile ww2..

Kupigana siku hizi ni mipango tu,Kiuchumi,kudhoofishwa kinamna yoyote ile,Putin kaingizwa king kajaa watu wanampelekea kweli,ajaribu sasa vita ya Nukes aone
 
World War 3 alishaanza japo kwenye atua za mwanzo mwanzo, Urusi hawezi kurudisha jeshi lake nyuma tena wakati Nato pia hawawezi kuamini kwamba baada ya ku-fall kwa Ukuraini Mrusi ataka kimya bila kufanya any peacetalks na ku-saini war pacts.....
My personal abservatio ni kwamba.
#NATO imepima uwezo wake wakupigana uko chini ukilinganisha na Urusi.
#US haiko tayari kuingia vita moja kwa moja ana hofia kuanguka kwa uchumi wake na kurise kwa China
# Uingereza anatafuta nxhi rafiki incase of war baada ya kutoka EU
 
Pumba tupu. Ni Mara ngapi west walimuendea Putini lakin akafunga mirango?.
Hivi wengine mnadunia yenu mnayoishi hata muone mambo kinyume?. Then kama ni hivyo putin anatumika kuanzisha vita ya 3 ya dunia na west. before US was sounding alarm that Russia is going to invade Ukraine but you and the rest were screeming na kusema ni propaganda za magharibi.
Poor putin's Robot
 
Pumba tupu. Ni Mara ngapi west walimuendea Putini lakin akafunga mirango?.
Hivi wengine mnadunia yenu mnayoishi hata muone mambo kinyume?. Then kama ni hivyo putin anatumika kuanzisha vita ya 3 ya dunia na west. before US was sounding alarm that Russia is going to invade Ukraine but you and the rest were screeming na kusema ni propaganda za magharibi.
Poor putin's Robot
Hapo umeandika nini mkuu?
 
Habari wana jukwaa!.
Nimefuatilia kwa karibu mzozo wa Ukraine, Kauli na Vitendo vya Rais wa Ukraine Zelesnky, Kauli na Vitendo Vya US, UK na NATO na NATO kwa ujumla. Nimejiridhisha pasina shaka kulikuwa na maandalizi ya muda mrefu kumaliza kazi ya kutengeneza "unipole" world.

Inaoekana baada ya kusambaratika kwa USSR mwanzoni mwa miaka ya 90, US na West hawakuridhika na hilo, lengo kuu ni kuiona Russia iliyomeguka kwenye vipannde vidogo vidogo visivyo na nguvu na vyenye kunyenyekea West. Hapa utapata sababu pekee kwa nini NATO iliendelea kubkishwa na kupanualiwa wakati adui yake mkuu "Amefariki'?

Inaonekana pia Zelensky ametengenezwa kimkakati kwa ajili moja tu kuu, kuanzisha WWIII ndio maana tangu mwanzo mpaka sasa bado anawaita NATO waje kuingilia mzozo wake. Kuna siku kama WWIII isipokuwepo na Zelensky kuondoka madarakani, atakuja kuusema ukweli huu. Ushahidi ni kuwa Zelensky lich ya kupigwa hataki mazungumzo na wala hajali hasara na maisha ya wa Ukraine. Ili maradi ameshachukua chake mapema.!

Kitendo Cha UK kusaini mikataba ya kuilinda Finland na Sweden ni kuharakisha WWIII au kupata front nyingine ya kuanzishia WWIII

Inaonekana Russia walilijua hili tangu mwisho wa mwaka jana wakaona wafanye "pre-emptive " strike. Kimsingi Russia aliwawahi West kabla y muda uliopangwa. Hii ilipaswa kuanza na shambulizi kubwa la Ukraine dhidi ya Waasi wa DONBASS!

Sina hakika kama Russia itaweza kuhimili mipango hii, lakini njia pekee ya kuepusha full WWIII ni Russia ashindwe na asambaratike tena vipande vidogo vidogo au itawaliwe!

Haya ni mawazo yangu tu!
Kushindwa kwa Russia, ni kumeguka kwa Russia vipandevipande.
Kama unafuatilia miaka ya 1999 au 2000 CIA waliivamia chechinya na kuishawishi ijitenge na Russia, kilichotokea wengi mlikisikia.
Putin aliwatandika hadi vyumbani mwao. Wakaenda kujipanga upya. Miaka ya 2005/2006 kuna makachero wa US na UK walikamatwa Moscow, kilichofuata wanakijua wao wenyewe. Ilipofika 2008 walipoona Putin katangaza kustaafu western wakafurahia sana.
Kufumba na kufumbua wanaona jamaa kaibuka tena, kama Netanyahu vile, mipango yao ikawa imefeli.

Wakaanza kumobilize maandamano ya kumpinga Putin, na yeye anawacheki tu.
Unakuja kukuta waandamaji na wadai democrasia wa Africa, tangu lini Russia ikawa na raia African indigineous?
 
Hukuonyesha msimamo wako na sababu zako umejikita kwenye kukosoa bila kuweka observation yake
Nyuzi za Jf zinakuwa ndefu kwasababu nje hoja watu wanamisimamo yao binafsi.
Mimi siendeshwi na misimamo, mimi naendeshwa na fact.
Misimamo ndiyo ilifanya kanisa likamuua Galileo.
 
Kupigana na RUSSIA moja Kwa moja ni ngumu na haitaweza kutokea marekani mwenyewe anajua iloo Rusia kuvunjia Kwa saivi ni haitatokea tena muungano WA nyuma ulivunjika Kwa sababu nyingi na wala si Kwaajili ya CIA Bali uchumi WA Rusia ulishastaki na ulishindwa kutoa mwangaza WA kuhudumia nchi wanachama na nchi nyingi zilikuwa nyuma kiteknolojia, na kimaendeleo kiujumla Rusia ya saivi ni Ile halisia kabla ya vita ya kwanza ya dunia wenye asili Yao kwenye nchi yao miaka 50 ijayo ni migumu sana Kwa nchi za West maana nchi nyingi za ulaya ni muunganiko WA majimbo kuanzia UK, German, Austria, uholanzi, Spain izi zote lazima zitakuja kujitawanya zikianza na Scotland atakuja kufata spain
 
Back
Top Bottom