Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Leo nimeona mijadala fulani ila ilikua inajenga maelezo kuhusu vitabu vyote viwili biblia na Quran, ukiangalia vitabu vyote vimeeleza matukio na historia na wala sio yaliyoshushwa kama wasemavyo.
Sababu inayokazaniwa ni kwamba Mungu kuona adhabu kila akizitioa aliona bora kuandika amri kumi tu na kumpa Musa ili watumie.
Sasa wanaosema kilishushwa ina maana kilikuja full package kaandika mpaka historia za watu? Wakati historia zinaonekana ziliandikwa na binadamu wakipeana vizazi na vizazi.
Hata wanayosema ukirudi nyuma malaika waliokuja hapa duniani walitoa mafunzo ya vitendo sio walikuja na makaratasi.
Sababu inayokazaniwa ni kwamba Mungu kuona adhabu kila akizitioa aliona bora kuandika amri kumi tu na kumpa Musa ili watumie.
Sasa wanaosema kilishushwa ina maana kilikuja full package kaandika mpaka historia za watu? Wakati historia zinaonekana ziliandikwa na binadamu wakipeana vizazi na vizazi.
Hata wanayosema ukirudi nyuma malaika waliokuja hapa duniani walitoa mafunzo ya vitendo sio walikuja na makaratasi.