Kwenye report ya Ultrasound 4 chambers of heart nini maana yake?

Kwenye report ya Ultrasound 4 chambers of heart nini maana yake?

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Wataalam naombeni msaada wa kunielewesha nini maana yake hapo kwenye "4 chambers of heart"

report limetokana na upimaji wa ultra sound kwa mjamzito.

Mungu awatangulie.
 
Mkuu kwani moyo wako una chemba ngapi?
Najua ni chemba nne, kwa mimi nilifikiri labda kuna maana nyingine zaidi ya ninavyofahamu, maana tumbo la mjamzito ni kubwa miezi minne utadhani ana miezi 6 hivi, sijui lkn
 
4 chambers of heart ni vyumba vya moyo,, Kwa kawaida moyo una vyumba vinne, viwili kushoto viwili kulia,,kisayansi vinaitwa "right and left heart ventricles" ambapo kazi yake kubwa ni kupokea damu kutoka sehemu mbalimbali za mwili "non oxygenated blood" na kusukuma damu kutoka katika moyo ambayo iko 'oxygenated' kutoka katika mapafu

Right heart ventricles ndiyo hupokea damu isiyo na oxygen then huenda katika mapafu kupitia mrija wa damu uitwao 'pulmonary artery' then kutoka katika mapafu damu hupitia mrija mwingine uitwao "pulmonary vein" kuingia left ventricle of the heart,, then damu huingia mrija mkubwa uitwao aorta, ambapo damu husafirishwa kwenda sehemu mbalimbali za mwili

Kawaida left ventricle huwa na upana mkubwa ukilinganisha na right ventricle, kwa sababu kazi kubwa ya kusukuma damu hufanywa na left ventricle,, hiyo ndiyo maana ya 4 chambers of the heart,, asante
 
4 chambers of heart ni vyumba vya moyo,, Kwa kawaida moyo una vyumba vinne, viwili kushoto viwili kulia,,kisayansi vinaitwa "right and left heart ventricles" ambapo kazi yake kubwa ni kupokea damu kutoka sehemu mbalimbali za mwili "non oxygenated blood" na kusukuma damu kutoka katika moyo ambayo iko 'oxygenated' kutoka katika mapafu

Right heart ventricles ndiyo hupokea damu isiyo na oxygen then huenda katika mapafu kupitia mrija wa damu uitwao 'pulmonary artery' then kutoka katika mapafu damu hupitia mrija mwingine uitwao "pulmonary vein" kuingia left ventricle of the heart,, then damu huingia mrija mkubwa uitwao aorta, ambapo damu husafirishwa kwenda sehemu mbalimbali za mwili

Kawaida left ventricle huwa na upana mkubwa ukilinganisha na right ventricle, kwa sababu kazi kubwa ya kusukuma damu hufanywa na left ventricle,, hiyo ndiyo maana ya 4 chambers of the heart,, asante
Bravoo [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Wataalam naombeni msaada wa kunielewesha nini maana yake hapo kwenye "4 chambers of heart"

report limetokana na upimaji wa ultra sound kwa mjamzito.

Mungu awatangulie.
Ungetoa sentensi nzima iliyoandikwa ingesaidia sana, pia ingependeza zaidi unapopata report ya ultrasound hakikisha daktari anayekuhudumia anakueleza kinagaubaga kilichoandikwa maana ni haki yako kama mgonjwa.

Pia tumbo kua kubwa kuliko mimba kuna mambo mengi inawezekana
1.mmekosea kuhesabu tarehe
2.ana mapacha
3.mtoto ni mkubwa
4.kuna maji mengi kwenye mji wa uzazi alimo mtoto
5.mimba imechanganyikana na kitu kingine kama fibroid,ovarian cancer n.k

Ongea na daktari wako atakupa picha kamili
 
Back
Top Bottom