Posho City
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 648
- 418
wakuu wife anataka afungue salun ya kike ila mimi au yeye hakuna anayejua chochote kile hasa juu ya ni vifaa gani viahitajika.
Mtaji anao ni wa milioni moja tu.vp unatosha kwa hyo kazi? salun kwa hyo hela anataka tu salun ya kawaida kabisa na sio zile za mamilioni.
Je kwa hyo hela anaweza akaanzisha hyo kitu? na ni vitu gani vya lazima viwepo?
kwanza anatakiwa apate eneo ambalo lipo sehemu ya wazi na watu wengi wanapita, vitu vya lazima ni kama rollers, drier,stimmer, mafuta ya nywele, dawa za nywele, vitana, shampoo, stiming, na vyombo kama ndoo, jaba na dishi