Kwenye SGR Tushike lipi tuache lipi?

Kwenye SGR Tushike lipi tuache lipi?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tunapohoji sana haya masuala tunaitwa Wapinga kila kitu, Sasa nyie mnaokubali kila kitu Tuambieni hapa mmeelewa nini?

Screenshot_2024-07-31-12-21-22-1.png
Screenshot_2024-07-31-12-24-21-1.png


Je ni kweli kwamba Abiria hawakujua na walifika wanapokwenda kwa wakati?
 
AAgh wapi, itabidi watu wa haki za wanyama wajitokeze aisee kuwatetea hawa watuhumiwa, Mbona bundi na huyo jirani yake ngedere wasiende kuchezea umeme kule Tanesco? mbona kwenye bwawa wa Mwalimu Nyerere kuna mbuga kabisa pale ila sijasikia Ngedere wala bundi akienda hata kuchota maji pale? Hawa wamekuaje??
 
Lying is just taking advantage of present time(s), circumstances and situation to hide the truth.. But at the same time, it is putting yourself at risk when those times, circumstances and situation have changed or no longer exist.
 
Wenye maono tulishasema kuwa huu mradi utakufa tu siku si nyingi kama ilivyo mwendokasi.Mwanzo walisema ikitokea hitilafu ya umeme utachukua muda wa saa mbili na nusu treni kusimamia lakini Leo imekuwa kinyume chake.
 
tuchague tu kati ya nyani na mabundi, na treni, tunataka nini. tuma jeshi, fyeka manyani yote njiani ili wakose sababu siku ingine.
 
Back
Top Bottom