Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tuichoke mara ngapi?Watanzania mna nongwa ππ€£, sijui hali ngumu au mmeichoka serikali yenu ππ€£
Abiria waliambiwa umeme ,kuna high voltageHaa Sasa Abiria Hatajua Jana Imekuwaje Mpaka Wamejua
Tuanzie Hapo
Kwahiyo Bundi na Ngedere wameupiga mwingi kwenye SGR yetu usiku wa kuamkia leo.
Gedere na bundi wamefanya auditing ya kutosha kwa TRC. Kazi kwenu Watanzania sasaTunapohoji sana haya masuala tunaitwa Wapinga kila kitu, Sasa nyie mnaokubali kila kitu Tuambieni hapa mmeelewa nini?
View attachment 3057512View attachment 3057517
Je ni kweli kwamba Abiria hawakujua na walifika wanapokwenda kwa wakati?
Nimesikia chombo kimoja cha habari cha kimataifa kinasema ''awls and monkeys blamed in Tanzania''
Baki njia kuu,mchepuko ni hatari!!Tunapohoji sana haya masuala tunaitwa Wapinga kila kitu, Sasa nyie mnaokubali kila kitu Tuambieni hapa mmeelewa nini?
View attachment 3057512View attachment 3057517
Je ni kweli kwamba Abiria hawakujua na walifika wanapokwenda kwa wakati?
π€£π€£π€£