Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Unapochapisha fomu nyingi maana yake umeruhusu wagombea wengine wachukue...Mpo salama!
Watu wanalaumu tuu Bure. Oooh! Fomu Moja! Ooh! Sio Demokrasia. Ooh! Kwa nini Sasa!
Kipi hakieleweki?
Mnataka Fomu ziwe nyingi ili katafunua zipigwe sio!
Nani ambaye hajui sisi ni Waafrika na tupo Afrika?
Kuchapisha Fomu nyingi kwenye uchaguzi ndani ya chama ni kuonja sumu, kujiwekea bastola mdomoni, kujitia kitanzi.
Watu wataanua tanga mapema sana Tena utashangaa wale ambao hukutegemea, Shaaaaa! Watu wamekuweka pembeni unang'aa sharubu.
Hata Mimi nisingekubali
Usiku mwema
Unapochapisha fomu nyingi maana yake umeruhusu wagombea wengine wachukue...
Anayesimamia mchakato ni nani??
Umenena kweli, watu wanakupigia Makofi huku wanakusagia kunguni ndani ya mioyo yao, hata kama ni wanachama wenzako usijipe asilimia zote, bora fomu 1.Mpo salama!
Watu wanalaumu tuu Bure. Oooh! Fomu Moja! Ooh! Sio Demokrasia. Ooh! Kwa nini Sasa!
Kipi hakieleweki?
Mnataka Fomu ziwe nyingi ili katafunua zipigwe sio! Nani ambaye hajui sisi ni Waafrika na tupo Afrika?
Kuchapisha Fomu nyingi kwenye uchaguzi ndani ya chama ni kuonja sumu, kujiwekea bastola mdomoni, kujitia kitanzi. Watu wataanua tanga mapema sana Tena utashangaa wale ambao hukutegemea, Shaaaaa! Watu wamekuweka pembeni unang'aa sharubu.
Hata Mimi nisingekubali
Usiku mwema
Pia soma:
Umenena kweli, watu wanakupigia Makofi huku wanakusagia kunguni ndani ya mioyo yao, hata kama ni wanachama wenzako usijipe asilimia zote, bora fomu 1.
Hapo fomu moja na wizi wa kura juu!Umenena kweli, watu wanakupigia Makofi huku wanakusagia kunguni ndani ya mioyo yao, hata kama ni wanachama wenzako usijipe asilimia zote, bora fomu 1.
Wewe ulitaka zichapishwe ngapi kwani?Mpo salama!
Watu wanalaumu tuu Bure. Oooh! Fomu Moja! Ooh! Sio Demokrasia. Ooh! Kwa nini Sasa!
Kipi hakieleweki?
Mnataka Fomu ziwe nyingi ili katafunua zipigwe sio! Nani ambaye hajui sisi ni Waafrika na tupo Afrika?
Kuchapisha Fomu nyingi kwenye uchaguzi ndani ya chama ni kuonja sumu, kujiwekea bastola mdomoni, kujitia kitanzi. Watu wataanua tanga mapema sana Tena utashangaa wale ambao hukutegemea, Shaaaaa! Watu wamekuweka pembeni unang'aa sharubu.
Hata Mimi nisingekubali
Usiku mwema
Pia soma:
Ni muhimu zaidi kumuamini Mungu pekee, vinginevyo ni ushirikina 🐒Mpo salama!
Watu wanalaumu tuu Bure. Oooh! Fomu Moja! Ooh! Sio Demokrasia. Ooh! Kwa nini Sasa!
Kipi hakieleweki?
Mnataka Fomu ziwe nyingi ili katafunua zipigwe sio! Nani ambaye hajui sisi ni Waafrika na tupo Afrika?
Kuchapisha Fomu nyingi kwenye uchaguzi ndani ya chama ni kuonja sumu, kujiwekea bastola mdomoni, kujitia kitanzi. Watu wataanua tanga mapema sana Tena utashangaa wale ambao hukutegemea, Shaaaaa! Watu wamekuweka pembeni unang'aa sharubu.
Hata Mimi nisingekubali
Usiku mwema
Pia soma:
Wewe ulitaka zichapishwe ngapi kwani?
Umeelewa,ulitakaje?Ningetaka au ningependa 😃
Umeelewa,ulitakaje?
NdioWewe ndîo mchapisha Fomu?
Dawa ni moja tu..Mpo salama!
Watu wanalaumu tuu Bure. Oooh! Fomu Moja! Ooh! Sio Demokrasia. Ooh! Kwa nini Sasa!
Kipi hakieleweki?
Mnataka Fomu ziwe nyingi ili katafunua zipigwe sio! Nani ambaye hajui sisi ni Waafrika na tupo Afrika?
Kuchapisha Fomu nyingi kwenye uchaguzi ndani ya chama ni kuonja sumu, kujiwekea bastola mdomoni, kujitia kitanzi. Watu wataanua tanga mapema sana Tena utashangaa wale ambao hukutegemea, Shaaaaa! Watu wamekuweka pembeni unang'aa sharubu.
Hata Mimi nisingekubali
Usiku mwema
Pia soma: