Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Timu za ulaya Zina viwanja vyao club inaamua. Nyie mnachezea viwanja vya umma kila mtu ana haki kwenda taifaUlaya kule kama timu haiwahusu hawaendi uwanjani wanabaki kwenye kumbi za starehe wanakunywa pombe. Sisi wabongo kiwanjani tunaenda
Hivi hizi games Nyimbo za Taifa hazipigwi??Simba mnatia huruma sana.
Mnataka tuwape baraka, tuwashangilie then mkishinda muanze kututukana na kutuita majina ya ajabu!
Jana tumewapokea kwa kishindo Plateau na leo tutakwenda uwanjani kuwashangilia.
Mbona mnapokwenda Iringa kucheza na Lipuli hamshangai kuona Wana Iringa wakiwageuka wenzao na kuwa upande wenu?
Hazipigwi.Kama nyimbo za Taifa hazipigwi basi uko sahihi mtoa Mada
Tatizo la hizi timu mbili zina mashabiki wengi kuliko wana michezo, hilo linajulikanaSimba mnatia huruma sana.
Mnataka tuwape baraka, tuwashangilie then mkishinda muanze kututukana na kutuita majina ya ajabu!
Jana tumewapokea kwa kishindo Plateau na leo tutakwenda uwanjani kuwashangilia.
Mbona mnapokwenda Iringa kucheza na Lipuli hamshangai kuona Wana Iringa wakiwageuka wenzao na kuwa upande wenu?
Sasa ndiyo muwaibie simu zao,hamna maana hata kidogoSimba mnatia huruma sana.
Mnataka tuwape baraka, tuwashangilie then mkishinda muanze kututukana na kutuita majina ya ajabu!
Jana tumewapokea kwa kishindo Plateau na leo tutakwenda uwanjani kuwashangilia.
Mbona mnapokwenda Iringa kucheza na Lipuli hamshangai kuona Wana Iringa wakiwageuka wenzao na kuwa upande wenu?
Simba mnatia huruma sana.
Mnataka tuwape baraka, tuwashangilie then mkishinda muanze kututukana na kutuita majina ya ajabu!
Jana tumewapokea kwa kishindo Plateau na leo tutakwenda uwanjani kuwashangilia.
Mbona mnapokwenda Iringa kucheza na Lipuli hamshangai kuona Wana Iringa wakiwageuka wenzao na kuwa upande wenu?
Huyo ni shabiki wa GONGOWAZI la UTOPOLO aka Manyani anasubiri mabadiliko toka Deportivo la Coruna sijui Sevila.Kwa hiyo wewe ni utopolo