Kwenye suala la mahusiano muda mwingine Diamond yupo sahihi

Kwenye suala la mahusiano muda mwingine Diamond yupo sahihi

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
Ukiwa na hela, hapa naongelea utajiri na hukuwa na mwanamke kabla ni bora ukazalisha mwanamke kama alivyofanya Diamond na ukaendelea kuishi peke yako sababu utapendewa pesa na wanawake.

Mwanamke akipata uhakika wa pesa kutoka kwako, atatafuta mwanaume moyo wake unayempenda, hapo ndiyo usaliti unapoanza. Kwa alichokifanya Diamond ndiyo uhalisia japokuwa jamii inapinga.
 
Kwahiyo ni diamond tu ndo mwenye pesa aliyeyapatia mahusiano mbona kuna watu kibao wenye pesa/utajiri wanaishi na familia zao na hawakuzaa ovyoovyo kama huyo diamomd unayempigia mfano
 
Kwahiyo ni diamond tu ndo mwenye pesa aliyeyapatia mahusiano mbona kuna watu kibao wenye pesa/utajiri wanaishi na familia zao na hawakuzaa ovyoovyo kama huyo diamomd unayempigia mfano
Hao matajiri wengi wao wanapendewa pesa diamond kaamua kuishi katika uhalisia
 
True
Screenshot_20221021-193822_Gallery.jpg
 
Ukiwa na hela hapa naongelea utajiri na hukua na mwanamke kabla ni Bora ukazalisha mwanamke kama alivyofanya diamond na ukaendelea kuishi single sababu utapendewa pesa na wanawake

mwanamke akipata uhakika wa pesa kutoka kwako atatafuta mwanaume moyo wake unayempendaye hapo ndo usaliti unapoanza, kwa alichokifanya diamond ndo uhalisia japokua jamii inapinga
kauli mbiu ni ile ile japo wapinzani n weng HAKUNA KUOA
 
Back
Top Bottom