Kwenye suala la mapenzi, mabinti wa kitanga ni undisputed

😂😂😂Ewww
 
Kama umr wako umeenda, na mmekutana kimjini mjini na umemuoa huyo yuko kazini weka hati za viwanja na mashamba mbali na hapo nyumbani. Ukija shtuka majina yote yamebadilishwa, mkibadili vitu vya ndani vya zamani vyote vinaenda kwao, vipya vyote vimeandikwq jina lake hapo umeshaisha Kaa chonjo.
 
Kujua mapenz ni uchaguzi wa mtu siku hizi.
U naweza kutokea mwanza na ukaamua kuwa mbunifu kwenye Mambo hayo Hadi uliye nae ashangae
Watoto wa tanga hasa kutoka udigoni hawana mshindani
 
Broh, baada ya show, dushe linafanyiwa massage. Hata kama hukuwa na mpango wa kuendeleza game, unajikuta unaendelea tu [emoji28][emoji28].

Imagine after sex unaambiwa pole. Sometime unabebwa, au unaimbiwa nyimbo [emoji848]
Wanaita kuosha mwiko
 
Umerogwa wewe si bure.
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…