Kwenye suala zima la mapambano dhidi ya COVID 19 nimejikuta najuta kuwa Mwafrika

Kwenye suala zima la mapambano dhidi ya COVID 19 nimejikuta najuta kuwa Mwafrika

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari za mchana ndugu!

Huku mataifa makubwa madaktari wakibishana kupigania chanjo walizozigundua huku madaktari wetu wako kimya.

Ok hiyo sio issue sana maana hata huko nje wapo madaktari ni mizigo pia.

Issue inayonifanya nijute ni sisi waafrika kutwakutwa kujazana upepo kuwa chanjo za COVID-19 ziko kwa ajili ya kueneza uFreemason, wengine wanasema zimekuja kutumaliza.

Ukiwauliza mahali walikofanyia utafiti wanakupiga maneno mengi.
 
Mkuu wa mkoa wa Kigoma amepiga marufuku shughuli zote zinazosababisha mikusanyiko katika mkoa huo lakini leo kuna kusanyiko kuu la Simba vs Yanga.

Mtu mweusi ni Kima aliechangamka!
EEYUb.jpg
 
Walituambia chanjo hazifai na kuwa tujifukize.Kuhusu vipimo navyo walisema havifai na kuwa kuna mapapai yamekutwa na corona pia
 
Back
Top Bottom