Kwenye TYPE-C earphones Samsung & AKG wametupiga

Kwenye TYPE-C earphones Samsung & AKG wametupiga

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
Mimi sio mpenzi kabisa wa wireless earphones,
Nikanunua original Samsung Type-C earphones 30k powered by AKG kuja kutumia kasauti nilikokutana nako na niliyozoea nikahisi au nimeziharibu? ni fake? sikuwaza sana ila nikaona isiwe tabu, nika order nyingine MADE IN VIETNAM.
Kuja khaaa, ni yale yaleeee..

Ikabidi nijaribu kwenye simu za washkaji zangu nako ni yale yale..

Hapa ndio nikaamini shida ipo kwenye earphones zao wenyewe, sitaki kuamini ya kua sbb ni technolojia ngeni..

NOTE : Sauti inasikika clearly ila ni nyepesi Sanaa, physical ni imara, ukiongea na mtu ipo sawa,
Issue ni husikii kabisa mikito/bass.
Ladha ya mziki huisikii.
 

Attachments

  • 516310YtVsL._AC_UF894,1000_QL80_.jpg
    516310YtVsL._AC_UF894,1000_QL80_.jpg
    41.8 KB · Views: 6
Nikanunua original Samsung Type-C earphones 30k powered by AKG kuja kutumia kasauti nilikokutana nako na niliyozoea nikahisi au nimeziharibu suala ya kua ni fake, sikuwaza sana ila nikaona isiwe tabu, nikasema, nika order nyingine..
Kuja khaaa, ni yale yaleeee..
Walikuuzia fake mkuu, earphone original hupati kwa bei hiyo ni 100K+
 
Mimi sio mpenzi kabisa wa wireless earphones,
Nikanunua original Samsung Type-C earphones 30k powered by AKG kuja kutumia kasauti nilikokutana nako na niliyozoea nikahisi au nimeziharibu? ni fake? sikuwaza sana ila nikaona isiwe tabu, nika order nyingine..
Kuja khaaa, ni yale yaleeee..

Ikabidi nijaribu kwenye simu za washkaji zangu nako ni yale yale..

Hapa ndio nikaamini shida ipo kwenye earphones zao wenyewe, sitaki kuamini ya kua sbb ni technolojia ngeni..

NOTE : Sauti inasikika clearly ila ni nyepesi Sanaa, physical ni imara, ukiongea na mtu ipo sawa,
Issue ni husikii kabisa mikito/bass.
Ladha ya mziki huisikii.
mbona bei yenyewe inaonyesha u fake wake
 
Walikuuzia fake mkuu, earphone original hupati kwa bei hiyo ni 100K+
Daaaa, Sasa mkuu huu si utapeli? ndio zisikute hata zile za za 3.5mm headphones jack za alf 3 k.koo?
 
Sasa na wew Africa unataka uuziwe vitu original, ili fake vipelekwe wap
 
Daaaa, Sasa mkuu huu si utapeli? ndio zisikute hata zile za za 3.5mm headphones jack za alf 3 k.koo?
Nilinunua hizo za type C K'koo hazikunipa ladha niijuayo, nikarudi dukani kulalamika, mtu mmoja akanipeleka pale China Plaza ndiyo nikaona hizo bei nikanunua hadi leo ndiyo nazitumia
 
Nilinunua hizo za type C K'koo hazikunipa ladha niijuayo, nikarudi dukani kulalamika, mtu mmoja akanipeleka pale China Plaza ndiyo nikaona hizo bei nikanunua hadi leo ndiyo nazitumia
Kumbe...., basi mkuu 🙌🙌🙌 ngoja nisikilize tuu miruzi yangu, hio 70k nikaepue zangu UTI riverside.
 
Back
Top Bottom