Kwenye Ufugaji bila kupunguza gharama za chakula, Faida ni ngumu kuiona

Kwenye Ufugaji bila kupunguza gharama za chakula, Faida ni ngumu kuiona

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Ufugaji hasa wa kuku ni gharama sana na Chakula huchukua asilimia zaidi ya 70 ya gharama zote za matunzo ya kuku.

Feeding coast ziko juu mno, na hazishuki bali zinapanda kila kukicha na wafugaji wengi hawajawekeza kwenye kupunguza gharama za ulishaji.

Mfano, unafuga Layers 1000+ then unanunua Chakula ni gharama sana, hapo lazima ujikite kwenye kuzalisha chakula chako mwenyewe.

Sokoni anayepata Faida ni yule aliezalisha kwa bei ya Chini na sio yule anayeuza bei ya juu.

Ukitaka uone Faida ya Ufugaji basi shariti uwekeze vilivyo kupunguza gharama hasa Chakula.
 
Umesema kweli. Soko la kuku siku hizi ni changamoto sana kutokana na Kupanda kwa gharama za chakula cha kuku maradufu.
 
Ufugaji hasa wa kuku ni gharama sana na Chakula huchukua asilimia zaidi ya 70 ya gharama zote za matunzo ya kuku.

Feeding coast ziko juu mno, na hazishuki bali zinapanda kila kukicha na wafugaji wengi hawajawekeza kwenye kupunguza gharama za ulishaji.

Mfano,una fuga Layers 1000+ then unanunua Chakula ni gharama sana, hapo lazima ujikite kwenye kuzalisha chakula chako mwenyewe.

Sokoni anaye pata Faida ni yule alie zalisha kwa bei ya Chini na sio yule anaye uza bei ya juu.

Ukitaka uone Faida ya Ufugaji basi shariti uwekeze vilivyo kupunguza gharama hasa Chakula
Upo sahihi mkuu
 
Mimi nafkilia kutumia kile chakula tulichokuwa tunatumia zamani,mash nataka niweke broiler hata 100 nione inakuaje.

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Tumefuga sana kuku wa kienyeji, kusema ukweli gharama ya kuwalisha kama uko shamba si kubwa sana.

Kuku wa kienyeji wanakula vitu vingi sana. Mchunga tulikua tunawachumia na kuwawekea, ukivuna mahindi weka debe kadhaa kwaajili ya chakula cha kuku. Licha ya pumba wanakula ugali pia. Ukikosa pumba unawasongea ugali unaacha upoe wenyewe wanaselebuka.

Kama uko mjini, unaweza kuongea na wenye migahawa wakakuuzia mabaki ya ugali na ukoko wa wali.
 
Tumefuga sana kuku wa kienyeji, kusema ukweli gharama ya kuwalisha kama uko shamba si kubwa sana.

Kuku wa kienyeji wanakula vitu vingi sana. Mchunga tulikua tunawachumia na kuwawekea, ukivuna mahindi weka debe kadhaa kwaajili ya chakula cha kuku. Licha ya pumba wanakula ugali pia. Ukikosa pumba unawasongea ugali unaangalia upoe wenyewe wanaselebuka.

Kama uko mjini, unaweza kuongea na wenye migahawa wakakuuzia mabaki ya ugali na ukoko wa wali.
kuna kitu nimekipata hapa asante
 
Tumefuga sana kuku wa kienyeji, kusema ukweli gharama ya kuwalisha kama uko shamba si kubwa sana.

Kuku wa kienyeji wanakula vitu vingi sana. Mchunga tulikua tunawachumia na kuwawekea, ukivuna mahindi weka debe kadhaa kwaajili ya chakula cha kuku. Licha ya pumba wanakula ugali pia. Ukikosa pumba unawasongea ugali unaangalia upoe wenyewe wanaselebuka.

Kama uko mjini, unaweza kuongea na wenye migahawa wakakuuzia mabaki ya ugali na ukoko wa wali.
Ulikuwa unawafungia ndani au unawaacha nje?
 
Ufugaji hasa wa kuku ni gharama sana na Chakula huchukua asilimia zaidi ya 70 ya gharama zote za matunzo ya kuku.

Feeding coast ziko juu mno, na hazishuki bali zinapanda kila kukicha na wafugaji wengi hawajawekeza kwenye kupunguza gharama za ulishaji.

Mfano,una fuga Layers 1000+ then unanunua Chakula ni gharama sana, hapo lazima ujikite kwenye kuzalisha chakula chako mwenyewe.

Sokoni anaye pata Faida ni yule alie zalisha kwa bei ya Chini na sio yule anaye uza bei ya juu.

Ukitaka uone Faida ya Ufugaji basi shariti uwekeze vilivyo kupunguza gharama hasa Chakula
Ndio maana haya maneno yanaendana sana, kilimo na mifugo, mifugo kwaajili ya kilimo na kilimo kwaajili ya mifugo. Kuna mwingiliano mkubwa sana wa mifugo na kilimo kutegemeana sababu mifugo itatupa mbolea + nguvu kazi (kwa wanyama kama ng'ombe) lakini kilimo kitatupa malighafi kuwalisha mifugo. Wafugaji muangalie namna pia ya kufanya kilimo ili kuona namna gani mnabalance gharama za ufugaji.
 
Ulikua unawafungia ndan au unawaacha nje?
Tulizungusha waya na mabanda yalikuwa ndani. Mabanda tulimwaga pumba za mchele kwahiyo kulikua na joto flani hivi.

Kila mwezi tulifagia na kuzitupa shambani. Pumba za mchele pia zilisaidia kulea vifaranga. Baada ya kuanguliwa tuliwapa wiki mbili tu na mama zao, baada ya hapo tuliwafunika na tenga chakula na maji yao humo humo.

Mama zao walitaga tena haraka. Tulifikisha kuku zaidi ya 200.
 
Tumefuga sana kuku wa kienyeji, kusema ukweli gharama ya kuwalisha kama uko shamba si kubwa sana.

Kuku wa kienyeji wanakula vitu vingi sana. Mchunga tulikua tunawachumia na kuwawekea, ukivuna mahindi weka debe kadhaa kwaajili ya chakula cha kuku. Licha ya pumba wanakula ugali pia. Ukikosa pumba unawasongea ugali unaangalia upoe wenyewe wanaselebuka.

Kama uko mjini, unaweza kuongea na wenye migahawa wakakuuzia mabaki ya ugali na ukoko wa wali.
Nasikia kuwapa kuku makombo kutoka migahawani huwaletea maradhi

Sent from my TECNO LB7 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye kufuga sharti namba mmoja nitapunguzaje gharama za chakula
 
Ufugaji hasa wa kuku ni gharama sana na Chakula huchukua asilimia zaidi ya 70 ya gharama zote za matunzo ya kuku.

Feeding coast ziko juu mno, na hazishuki bali zinapanda kila kukicha na wafugaji wengi hawajawekeza kwenye kupunguza gharama za ulishaji.

Mfano, unafuga Layers 1000+ then unanunua Chakula ni gharama sana, hapo lazima ujikite kwenye kuzalisha chakula chako mwenyewe.

Sokoni anayepata Faida ni yule aliezalisha kwa bei ya Chini na sio yule anayeuza bei ya juu.

Ukitaka uone Faida ya Ufugaji basi shariti uwekeze vilivyo kupunguza gharama hasa Chakula.
Tupe suluhu Mkuu ili tuishi humo
 
Mash ni hasara Mkuu. Watakula mifuko mingi halafu watachelewa kukua. Ungekua na mtaji ungenunua mashine ya kutengeneza pellet siku hizi zipo Hadi za 2m
Bora kununua machine tu.

Hiyo machine ya pellet inapiga kila kitu??yani hadi kusaga?
 
Back
Top Bottom